• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Maendeleo ya jamii jinsia na Vijana

MAJUKUMU YA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

Maendeleo ya Jamii ni taaluma ya ujenzi na utaalamu wa kuiwezesha Jamii kujenga Jamii endelevu iliyojiamini yenye kujitambua na yenye uwezo wa kujitambua na kushiriki shughuli mbalimbali za maendeleo kwa misingi ya haki na usawa.

Taaluma hii inawezesha jamii kubaini, mahitaji, fursa, kubuni, kuandaa, kupanga na kutekeleza miradi mbalimbali ya kujiletea maendeleo endelevu.

Maendeleo ya Jamii inawezesha Jamii kufahamu fursa za kiuchumi, kijamii, kiteknolojia, na kiutamaduni kama njia muhimu ya kuongeza kipato kwa jamii na kupunguza/kuondoa umaskini, kupigania usawa wa kijinsia, Maendeleo ya kielimu na Maarifa ya Matumizi mazuri ya fursa Sayansi na Teknolojia katika kujiletea Ustawi wa Maisha ya Familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Katika kutekeleza utaalamu huu kwa sekta mtambuka inayounganisha majukumu yake na sekta zingine wataalamu wa Maendeleo ya Jamii wana wajibu ufuatao;

  • Kubuni, kupanga, kushirikisha na kutekeleza miradi mbalimbali inayoibuliwa na jamii  kwa ajili ya kujiletea maendeleo.
  • Kuandaa jamii iweze kujitathimini na kujitafiti hali zao za kimaisha na kuzifahamu changamoto zinazohitaji kufanyiwa marekebisho na maboresho ili waweze kusonga mbele kimaendeleo.
  • Kuwezesha jamii kufahamu fursa na rasrimali zilizopo katika jamii yao na kutatua matatizo yao.
  • Kuwa kiunganishi kati ya wananchi, viongozi, asasi za kiraia na mashirika kuanzia ngazi ya chini (Vijiji, Mitaa, Kata,Wilaya, Mikoa hadi Taifa)
  • Kutafisri sera miongozo kanuni na mipango mbalimbali ya kimaendeleo kwa ajili ya utekelezaji katika ngazi ya jamii kuanzia ngazi ya chini kwenda juu (Bottom up Approach)
  • Kuhamasisha Umma kushiriki katika kutekeleza sera mtambuka kama vile UKIMWI, MKURABITA, UWEZESHAJI WANANCHI, UKATILI WA KIJINSIA na kampeni mbalimbali kujishughulisha na kuingiza masuala mtambuka katika mipango ya Vijiji, Kata, Halmashauri katika kuandaa utekelezaji wa sera na program za maendeleo.
  • Kuhamasisha jamii wawe tayari kwa mabadiliko chanya yenye manufaa kwao, kwa mtu mmoj mmoja kupitia vikundi vya ujasiliamali, sanaa n.k
  • Kutoa mafunzo ya vikundi vya Vijana na Wanawake yanayohusu uanzishaji wa Biashara, Utunzaji wa fedha, Uongozi na Ujasiriamali.

          MAJUKUMU YA MSINGI YA MAENDELEO YA JAMII YAMEJIKITA KATIKA MAENEO YAFUATAYO;

  • Kuraghibisha na kuhamasisha jamii kujiletea  maendeleo endelevu “kujitambua/ kutambua fursa na rasilimali”
  • Kuratibu mipango mbalimbali ya Serikali, Taasisi, Asasi pamoja na huduma zingine zinazotolewa na wadau pamoja na mitandao mbalimbali.
  • Kuwezesha na kuunganisha jamii na vikundi na taasisi, asasi na Serikali kwa ujumla ili kupata rasilimali (huduma, mitaji na mikopo)
  • kuingiza masuala mtambuka katika mipango ya maendeleo kwa ngazi zote (Vijijini  - Halmashauri)
  • KUSHIRIKISHA Jamii na wadau mbalimbali katika kutambua, chambua na kutekeleza kazi za kujiletea maendeleo.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.