• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Madiwani Wahimizwa Kutoa mrejesho wa matumizi ya Fedha za Mapato ya ndani Kwa Wananchi

Posted on: November 7th, 2024

Baada ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani kutoa zaidi  ya Shilingi milioni 209 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya Maendeleo na shughuli nyingine kwa kutumia fedha za mapato ya ndani  katika robo ya kwanza ya mwaka 2024/2025,  Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mhe. Shadida Ndile amewataka Madiwani  kuendelea kusimamia na kukusanya mapato  pamoja na kutoa elimu na mrejesho kwa wananchi wa matumizi ya kodi zao kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili changamoto zilizopo Kwenye Kata na Mitaa ziweze kutatuliwa.

Mstahiki Meya ameyasema hayo Leo Novemba  7,2024 kwenye Mkutano wa baraza la Madiwani wa kujadili na kupitia taarifa za za utekelezaji wa shughuli mbalimbali kwenye Kata , uliofanyika katika Ukumbi wa Manispaa.

Aidha amewahimiza Madiwani hao kupeleka vipaumbele viliyopo kwenye Kata kwa Mkurugenzi ili aweze kuvifanyia kazi huku akiahidi kubaini miundombinu yote chakavu ya shule ili iweze kurekebebishwa kwa kutumia fedha za mapato ya ndani na zile zinazotoka Serikali Kuu.

Amesema kuwa halmashauri itaendelea kuboresha miundmbinu ya masoko yote awamu kwa awamu ambapo kwa awamu ya kwanza halmashauri imepeleka Shilingi milioni 10 Kata ya Vigaeni kwa ajili ya kuboresha soko Kuu  eneo la Mkunguni.

Ameendelea kulitumia baraza hilo kuipongeza Manispaa ya Mtwara-Mikindani hususani sekta ya elimu kwa kuongoza Kimkoa kwenye matokeo ya Mtihani wa Taifa wa kumaliza elimu ya Msingi mwaka huu ambapo Manispaa imefaulisha kwa daraja A,B na C.

Kwa nyakati tofauti Waheshimiwa Madiwani wamepongeza Mstahiki Meya, Mkurugenzi Mwalimu Nyange na wataalamu wake  kwa kutoa fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya utekelezji wa miradi ya amendeleo na shughuli  nyingine kwenye Kata .

Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya ya Mtwara Ndugu Mwinyi Ahmed Mwinyi amewataka wajumbe wa baraza hilo kujiandaa vizuri na uchaguzi wa Serikali za mitaa

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.