• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Historia

Mtwara-Mikindani ni jina ambalo  linamuunganiko wa maneno mawili ambayo ni Mtwara na Mikindani.. Sehemu hizi mbili yaani Mtwara na Mikindani vilikuwa ni vituo maarufu ambapo kila kimoja kilitokana na sababu zake  .Neno ”Ntwara” ambalo kwa sasa Mtwara ni neno la Kimakonde lenye maana ya ku-twaaliwa (kuvamiwa na kuchukuliwa mateka). Baadae eneo hili likawa makazi ya Waarabu na watu wengine ambao waliyokuwa wametekwa kama Watumwa na kuuzwa.

Neno Mikindani limetokana na neno Mikinda yaani eneo ambalo miti ya minazi haikui/kustawi vizuri.Wanyeji halisi wa eneo hili ni Wamakonde,Wayao na Wamakua. Asilimia 75 ya wananchi wa Mtwara ni Wamakonde,wafuatiwa na Wayao na mwisho ni Wamakua. Kama kawaida ya Mikoa mingine ya Tanzania kuna watu wengine wanaichi Mtwara.

Historia ya kuanzishwa mamlaka kamili ya Halmashauri ya Mtwara-Mikindani Manispaa yalianza mwaka 1948, kipindi cha utawala wa kikoloni wanaamisha Bandari ya Mtwara kutoka Mikindani ambapo ilipokuwa awali.

Manispaa ya Mtwara Mikindani ina ukubwa wa kilometa za mraba 163 sawa na 0.97% ya eneo lote la Mkoa wa Mtwara. Manispaa ya Mtwara Mikindani kwa upande wa mashariki imepakana na bahari ya hindi, upande wa kaskazini, upande wa  magharibi na upande wa kusini imepakana na halmashauri ya wilaya ya Mtwara. Halmashauri hii  kiutawala imegawanyika katika maeneo  yafuatayo ina Jimbo moja la uchaguzi, Kata 18,Mitaa 111 na Tarafa 2.

Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012, idadi ya watu Manispaa ilikuwa  108,299 (Ke 57,237 na  Me 51,062) Hadi Kufikia  2017 halmashauri inakadiriwa kuwa na watu 115,623 kwa ongezeko la  1.6% kwa mwaka (Ke 61,108, na Me 54,515).

Kwa upande wa shughuli za kiuchumi, asilimia 84 ya wananchi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wanajishughulisha na biashara, asilimia 12.4 wanajishughulisha na kilimo, ambapo mazao ya chakula ni Mahindi, Muhogo, Mtama, Mbaazi, Njugu mawe, Kunde. Mazao ya biashara yanayolimwa ni Korosho, Karanga na Ufuta na asilimia 3.6 ya wananchi wa Manispaa wanajishughulisha na viwanda vidogo vidogo na vya kati.

Halmashauri imetenga na kupima viwanja vyenye ukubwa wa ekari 505.47 kwa ajili  ya   ujenzi wa viwanda, maghala na kituo kikubwa cha umeme. Viwanja hivi vimepimwa katika maeneo ya Mtepwezi katika kata ya Likombe na maeneo ya Chihiko katika kata ya Mtawanya. Mpaka sasa, halmashauri ina jumla ya ekari 281.62 yenye viwanja 74 ambavyo vipo tayari kwa ajili ya waombaji mbalimbali walio tayari kujenga viwanda. Pamoja na kutenga maeneo kwa ajili ya viwanda, Halmashauri imepima pia eneo lenye ukubwa wa ekari 223.85 kwa ajili ya kujenga kituo cha umeme katika eneo la Mtepwezi.  .



Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.