• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Idara ya Maji


Halmashauri chini ya idara ya Maji ina jukumu la kutoa huduma ya maji safi na salama hususani ya visima kwenye kata za pembezoni mwa Manispaa.

Idadi ya wakazi wapatao maji safi na salama ni 88,534 kati ya 124,697 sawa na asilimia 71, na jumla ya wakazi wapatao maji safi na salama pembezoni mwa Manispaa ni 14,940 kati ya 18,824 sawa na asilimia 80.4 waliobaki sawa na asilimia 19.6 wanatumia vyanzo vya maji asili.

 

MAJUKUMU YA MSINGI YA IDARA YA MAJI

  1. Kupanga, kusimamia na kuratibu shughuli zote za miradi ya miundo mbinu ya maji ili kuhakikisha kuwa miradi hii inatekelezwa kwa viwango vya ubora unaokubalika.
  2. Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa Mkurugenzi wa Manispaa wakati wa kuandaa na kutekeleza miradi ya ujenzi wa maji katika maeneo yote yanayotekelezwa miradi ya miundo mbinu.
  3. Kusimamia utekelezaji wa sera, miongozo na sheria zinazotolewa na serikali juu ya utekelezaji na uendeshaji miradi ya maji ili iweze kuleta tija kwa kuinua uchumi na maendeleo kwa Taifa.
  4. Kubuni na kusimamia miradi inayoanzishwa na jamii, Taasisi na Mashirika yasiyo ya kiserikali kwa njia shirikishi jamii kulingana na kanuni na miongozo inayotolewa na serikali ya Jamhuri ya Muungano.
  5. Kufanya upimaji na uchunguzi wa miradi mipya ya maji.
  6. Kusimamia uundaji wa vyombo vya watumiaji maji (COWSO).
  7. Kusimamia sheria ya utunzaji wa vyanzo vya maji katika Manispaa.
  8. Kuratibu upimaji wa ubora wa maji na kuyafanyia matibabu.
  9. Kuandaa  taarifa za utekelezaji wa shughuli za Idara hii na kuwasilisha katika vikao vya Halmashauri kila mwisho wa robo ya mwaka.

 

 

SHUGHULI ZILIZOFANYIKA

1.Uchimbaji wa visima 11 virefu pembezoni mwa manispaa umefanyika.

2.Miradi 6 ya mfumo wa maji ya bomba maeneo ya Mjimwema, Mkangala, Rwelu, Haikata, Minyembe na Mbae imejengwa.

3.Visima 22 vifupi vilivyofungwa pampu za mkono vimekarabatiwa

4.Jumla ya vyombo 5 vya watumiaji maji vimeundwa na kupewa mafunzo juu ya uendeshaji wa miradi ya maji.

 

 

 

HALI YA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI 

Halmashauri inatekeleza miradi ya maji ya vijiji kumi kupitia Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji (WSDP) . Program hii inafadhiliwa na wahisani mbalimbali wa Maendeleo kama World Bank, ADfB, Serikali ya Ujerumani na Ufaransa n.k. Pia utekelezaji wa Miradi ya maji ya vijiji kumi umeingizwa kwenye mpango wa Big Result Now (BRN).  

Hadi sasa Halmashauri ina jumla ya Visima 39 kati ya hivyo visima virefu ni 8,vinavyofanya kazi ni visima 5. Visima vifupi ni 36, vinavyofanya kazi ni 21 na vibovu ni 15.

Kupitia Programu ya Sekta ya Maji  imetekeleza miradi ya Maji  (7) Saba kama ifuatavyo:-

1. Mradi wa maji Mji Mwema

 Mradi huo umekamilikamita kwa asilimia 100, utekelezaji uliofanyika ni Ujenzi wa  mfumo wa Maji ya bomba mita 3,021 , Ujenzi wa nyumba ya Mitambo, Ujenzi wa Tanki la maji  lita 10,000 na mifumo 3 ya uvunaji wa maji ya mvua.

2. Mradi wa Maji Rwelu

Mradi huo umekamilika kwa asilimia 100, utekelezaji uliofanyika ni ujenzi wa  mfumo wa Maji ya bomba mita 7,011 , Vituo 6 vya kuchotea Maji, Ujenzi wa nyumba ya Mitambo, Ujenzi wa Tanki la maji lita 50,000 na mifumo 3 ya uvunaji wa maji ya mvua.

3. Mradi wa Maji Mbae

Mradi huo umekamilika kwa asilimia 100, utekelezaji uliofanyika ni ujenzi wa mfumo wa Maji ya bomba mita 5,159 , Vituo 6 vya kuchotea Maji, Ujenzi wa nyumba ya Mitambo, Ujenzi wa Tanki la maji lita 50,000 na mifumo 3 ya uvunaji wa maji ya mvua.

4. Mradi wa Maji Mkangala

Mradi huo umekamilika kwa asilimia 100, utekelezaji uliofanyika ni ujenzi wa mfumo wa Maji ya bomba mita 11,843 , Vituo 8 vya kuchotea Maji, Ujenzi wa nyumba ya Mitambo, Ujenzi wa Tanki la maji lita 50,000 na mifumo 3 ya uvunaji wa maji ya mvua.

5. Mradi wa Maji Haikata

Mradi huo umekamilika kwa asilimia 100, utekelezaji uliofanyika ni ujenzi wa mfumo wa Maji ya bomba mita 2,041, Vituo 5 vya kuchotea Maji, Ujenzi wa nyumba ya Mitambo , Ujenzi wa Tanki la maji lita 25,000 na mifumo 3 ya uvunaji wa maji ya mvua.

6. Mradi wa Maji Minyembe

Mradi huo umekamilika kwa asilimia 100, utekelezaji uliofanyika ni ujenzi wa mfumo wa Maji ya bomba mita 5,409 , Vituo 5 vya kuchotea Maji, Ujenzi wa nyumba ya Mitambo, Ujenzi wa Tank la maji lita 75,000 na mifumo 3 ya uvunaji wa maji ya mvua.

7. Mradi wa Maji Mtawanya

Mradi huo umekamilika kwa asilimia 100, utekelezaji uliofanyika ni ujenzi wa mfumo wa Maji ya bomba mita 6,437 , Vituo 12 vya kuchotea Maji, Ujenzi wa nyumba ya Mitambo , Ujenzi wa Tank la maji lita 50,000 na mifumo 3 ya uvunaji wa maji ya mvua.


 

 

 

 

 

 

 

  

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.