• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Elimu Sekondari

Idara ya Elimu ya Sekondari ni idara mpya katika Mamlaka za Serikali za Mitaa iliyoanzishwa rasmi Julai 2009, baada ya agizo la Mhe. Rais la mwaka 2008 alipokuwa anatangaza Baraza la Mawaziri.  Kabla ya hapo Idara hii ilikuwa chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Aidha Idara hii ina majukumu mbalimbali, baadhi ya majukumu hayo ni:-

  • Kusimamia utoaji wa taaluma na michezo katika shule za sekondari katika Halmashauri.
  • Kusimamia mapato na matumizi ya Idara na shule zake.
  • Kusimamia utekelezaji wa miongozo mbalimbali inayotolewa na Serikali kupitia kamishina wa elimu.
  • Kuratibu na kuendesha mitihani ya ndani na ya kitaifa kwa shule za sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita.
  • Kusimamia utendaji kazi wa watumishi waliopo katika Idara na stahili zao
  • Kusimamia ukarabati, upanuzi wa miundombinu na utekelezaji wa miradi inayotekelezwa katika shule za sekondari kwa kushirikiana na idara zingine.
  • Kufanya makisio ya mahitaji ya walimu kimadaraja na kimasomo

   IDADI YA SHULE.

Halmashauri ya Manispaa Mtwara – Mikindani ina Jumla ya shule za Sekondari 21 zikiwemo za Serikali 13 na binafsi 8 kwa mchanganuo ufuatao:-

 
Na
Aina ya shule
Zenye kidato cha   1-4
Zenye kidato cha   1-6
Zenye kidato cha 5-6
Jumla
Zenye Hostel/Bweni
Wav Pekee
Was-Pekee
Mchanganyiko
1.
Shule za Serikali
11
2
0
13
0
1
1
2.
Shule zisizo za Serikali
5
3
0
8
0
1
5
JUMLA KUU
16
5
0
21
0
2
6


 UANDIKISHAJI (IDADI YA WANAFUNZI) KWA MIAKA 3 MFULULIZO

NA
MWAKA
KIDATO CHA  I
KIDATO CHA  II
KIDATO CHA  III
KIDATO CHA  IV
KIDATO CHA  V
KIDATO CHA  VI
1
2015
1857
1857
1811
1695
478
505
2
2016
2111
1943
1835
1855
549
504
3
2017
2170
2379
1672
1518
741
552
JUMLA
6138
6179
5318
5068
1768
1561


Watumishi katika shule za sekondari za serikali.

Halmashauri ina jumla ya watumishi 417 wakiwemo walimu 400 na wasiowalimu 17 waliopo katika shule za sekondari.

 HALI YA MIUNDOMBINU KATIKA IDARA

Miundombinu iliyopo shuleni kwa shule za serikali.

   Jedwali lifuatalo linaonesha muhtasari wa Miundombinu hii iliyopo shuleni.

 
NA
 
AINA YA MIUNDOMBINU
 
MAHITAJI
 
ILIYOPO
 
UPUNGUFU
1
Majengo ya utawala
13
10
3
2
Vyumba vya madarasa
163
176
13
3
Nyumba za walimu
400
73
327
4
Vyoo vya wanafunzi
285
196
89
5
Mabweni
24
18
6
6
Maktaba
13
9
4
7
Maabara
39
39
0
8
Vyoo vya walimu
26
26
0


TAALUMA (UFAULU) KWA MIAKA 3 MFULULIZO.

Hali ya ufaulu kwa kipindi cha cha miaka 3 inaonesha waliofanya mitihani, waliofaulu na asilimia ya ufaulu. 

NA
MWAKA
KIDATO CHA 2
KIDATO CHA 4
KIDATO CHA 6
fanya
faulu
%
fanya
faulu
%
fanya
faulu
%
1
2014
1979
1761
89
873
650
74
241
233
97
2
2015
1625
1391
86
1674
1048
68
271
269
98
3
2016
1992
1685
85
1740
1208
74
475
277
98


Next   read more

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.