• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Fedha na Biashara

 MAJUKUMU YA IDARA YA FEDHA 

  • Kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri kwa kufuata sheria mama na sheria ndogo za Halmashauri.


  • Kuhakikisha kwamba mapato yote yanakusanywa kwa kutumia mfumo  wa mapato (LGRCIS).
  • Kuandaa, kuwasilisha na kusimamia utekelezaji wa bajeti ya Halmashauri iliyopitishwa na kuhakikisha matumizi ya fedha 
  • yanafanyika kwa mujibu wa shughuli zilizoidhinishwa.Kusimamia matumizi ya fedha za serikali kwa kufuata kanuni, miongozo na sheria.
  • Kuandaa taarifa ya mapato na matumizi kila mwezi.
  • Kuandaa hesabu za mwisho kuishia Juni, 30 ya kila mwaka na kuwasilisha kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali ifikapo 30.Septemba ya kila mwaka.
  • Kutoa ushauri wa masuala ya fedha kwa wakuu wa idara na vitengo.
  • Kumshauri Mkurugenzi katika masuala ya fedha.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 A: MAPATO YA VYANZO VYA NDANI MWAKA 2016/2017 NA MAKADIRIO YA MWAKA 2017/2018

 

KASMA

MAELEZO YA CHANZO CHA MAPATO

IDARA YA FEDHA NA UTAWALA

110851

Kodi ya huduma ya Mji

140283

Ada ya maombi ya zabuni

140392

Vituo vya mabasi

140408

Pango la nyumba - majengo ya Halmashauri

140505

Mapato mengineyo
IDARA YA BIASHARA NA MASOKO

140370

Leseni za vileo

140292

Ushuru wa masoko na vizimba

110852

Ushuru wa Hoteli

140571

Leseni za biashara
IDARA YA KILIMO NA USHIRIKA

110808

Ushuru wa mazao (korosho)

 

IDARA YA USAFI WA MAZINGIRA

140294

Mapato yatokanayo na taka ngumu

Ushuru wa fomu vya sanitation and hygienic –form fee

Ushuru wa vibari vya sanitation and hygienic-permit fee

140384

Mapato mengineyo (Faini)

Ushuru wa uchunguzi wa vyombo vya majini

Mapato mengineyo

Uchangiaji wa huduma za uzoaji taka
IDARA YA UJENZI

140380

Ada za ramani za ujenzi

Ushuru wa maegesho

140387

Ushuru wa matangazo/mbao za matangazo

140405

Mapato mengineyo

Ushuru wa waosha magari/pikipiki/Bajaji

Ushuru wa kumbi za starehe na maharusi

Ushuru wa viwanda vya kufyatua Matofali.

Ushuru wa machimbo ya mchanga, mawe na kokoto

Ushuru wa kutandaza mfumo wa maji kwa mabomba ya MTUWASA

Ushuru wa kutandaza mfumo wa umeme-TANESCO
IDARA YA AFYA
 

Uchangiaji (User fee)

TIKA/CHF

NHIF

TFDA
 IDARA YA ELIMU SEKONDARI
 
Ada za wanafunzi shuleni
IDARA YA MIFUGO NA UVUVI

140349

Ada ya leseni mazao ya bahari

Ushuru wa machinjio

Ushuru wa soko la samaki
IDARA YA MIPANGO MIJI

140408

Upimaji wa Viwanja

Ushuru wa kuni kwa mzigo au mkaa kwa kiroba au mbao pana kwa boriti

Ushuru wa miti/kongoo kwa mmoja

Ushuru wa fito

Ushuru wa solon za kike/kiume

Ushuru wa Hostel

Ushauru wa Bars, Pubs na Gloceries

Ushuru wa kulaza Magari

110802

Retention Scheme/land rent
IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

140408

Ukodishaji wa Jumba la Maendeleo

140505

Mapato Mengineyo
KITENGO CHA UTAMADUNI
 

Ada ya kusajili vikundi vya sanaa

Vibali vya vya sherehe, ngoma na matamasha

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Matangazo

  • Tangazo la Maombi ya Kukimbiza Mwenge wa Uhuru January 27, 2023
  • Taarifa Kwa Umma Mlipuko wa Surua na Rubella February 22, 2023
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Afisa Mtendaji wa Mtaa February 23, 2023
  • Orodha ya majina ya Waliopata Viwanja Mjimwema August 31, 2022
  • Tazama yote

Habari mpya

  • CHMT Mtwara-Mikindani Yapata Mafunzo ya Mfumo wa GoT-HOMIS

    February 23, 2023
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Chanjo ya Surua na Rubella

    February 21, 2023
  • Mtwara Yafanya Matembezi ya Hisani Kuelekea Uzinduzi Mwenge wa Uhuru

    February 18, 2023
  • "Mkahamasishe uzalishaji wa zao zaidi ya moja"DC Msabaha

    February 13, 2023
  • Tazama yote

Video

Simulizi za mabadiliko Shule ya Msingi Rwelu
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.