• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Miradi inayoendelea

Mnamo mwezi November 2013 TASAF awamu ya tatu ilianza kutekelezwa kwa kuainisha kaya masikini sana,jumla ya kaya 1,321 zilitambuliwa na tayari zimeanza kunufaika na Mpango wa kunusuru Kaya Maskini(PSSN). TASAF III itatekelezwa kwa miaka kumi katika Awamu mbili za miaka mitano kila Awamu kaya. Mpango wa TASAF III una sehemu kuu nne za utekelezaji, ambazo ni :-

Mpango wa kunusuru kaya maskini, ambao unatoa ruzuku kwa kaya maskini sana hususan zenye wajawazito na watoto ili ziweze kupata huduma za elimu na afya.  Pia kutoa ajira kwa kaya maskini zenye watu wenye uwezo wa kufanya kazi wakati wa majanga mbalimbali kwa mfano ukame, mafuriko n.k.

  • Kuongeza kipato kwa kaya maskini kupitia uwekaji akiba na shughuli za kiuchumi ili kuboresha maisha.
  • Kujenga na kuboresha miundo mbinu inayolenga sekta za elimu, afya na maji.
  • Kujenga uwezo katika ngazi zote za utekelezaji, sehemu hii endelevu katika kila hatua ya ukelezaji  wa mpango wa kunusuru kaya maskini.

1.1 LENGO kuu  la TASAF III ni kuziwezesha kaya maskini sana kuongeza kipato,fursa na uweza wa kujiletea maendeleo na  kuongeza matumizi muhimu kaya.

1.2 MADHUMUNI YA  MPANGO (TASAF III) 

  • Kuzeweshezesha kaya Maskini sana kuongeza matumizi muhimu kwa njia endelevu.
  • kuzewesha kaya maskini kuwa matumizi hasa wakati Hari
  • kuwekeza kwenye rasilimali watu hususana watoto.
  • kuimarisha shughuli za kuongeza kipato kwa kaya
  • kuongeza matumizi ya hudumu za Jamii


1.3  VIGEZO VINAVYOTUMIKA KUTAMBUA KAYA MASKINI SANA 

  • Ina kipato cha chini sana na si cha uhakika ukilinganisha na kaya zingine kijijini/mtaa/shehia.
  • Haiwezi kumudu au haina uhakika wa kupata milo mitatu kwa siku;    Hii ina maana kwamba kaya ya namna hii haiwezi kupata           milo     mitatu kwa siku, kifungua kinywa (mlo wa asubuhi), mlo wa mchana na wa jioni         kwa uhakika
  • .Inaishi kwenye makazi duni sana; Kaya hii inaishi katika makazi duni kupindukia kiasi cha kuhatarisha maisha na afya za wanakaya husika.
  • Kaya yenye watoto wenye umri wa kuwa shule lakini hawajaandikishwa au wameacha shule kwa kushindwa kumudu gharama; Ina watoto ambao hawaendi kliniki kupata huduma za Afya. 
  • Kaya haiwezi kumudu kugharamia mahitaji muhimu ya kumwezesha kumpeleka mtoto kliniki kama vile mavazi ya mama na mtoto au bima ya afya
  •  Ina watoto wengi, Kaya yenye watoto wengi ambayo haiwezi kumudu kugharamia mahitaji muhimu katika kaya kama vile makazi, malazi, mavazi, chakula, elimu na afya


 MIRADI YA AJIRA YA MUDA (PUBLIC WORKS PROGRAM-PWP)

Manispaa ya Mtwara Mikindani kwa mwaka 2014/2015 na mwaka 2016/17 imetekeleza miradi ya ajira ya muda kwa mitaa 35 ikijumuisha miradi mbalimbali ya ujenzi na mazingira,ambayo iliwezesha walengwa 1290 kujiongezea kipato.

 MADHUMUNI YA MIRADI YA MUDA 

  • Kujenga miundo mbinu ya Jamii
  • kudhibiti na kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya Nchi
  • Kuongeza kipato cha kaya hasa kipindi cha hari
  • kuhamasisha walengwa kujenga utamaduni wa kufanya kazi na kuongeza ujuzi kupitia ushiriki wao kwenye miradi.

 

 MIRADI YA UJENZI WA MIUNDO MBINU YA JAMII

Manispaa ya Mtwara- Mikindani kupitia utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ya jamii imetekeleza mradi wa kujenga Nyumba ya Mganga katika Mtaa wa Rwelu (Zahanati ya Lwelu) ambayo iligharimu kiasi cha Tsh.66,180,500.00.

 MADHUMUNI YA MIRADI YA MIUNDO MBINU

  • Kujenga utamaduni wa jamii kushiriki katika miradi ya maendeleo kwa kuchangia fedha au nguvu kazi.
  • Kuboresha ,kuirimarisha na kuondoa upungufu wa   miundo mbinu ya Jamii katika eneo husika
  • Kuandaa mazingira bora ya Jamii kupata hudumu za Afya,Elimu na maji.

 

 MIRADI YA KUWEKA AKIBA NA KUWEKEZA

Manispaa ya Mtwara Mikindani ina jumla ya ya vikundi 76 vya kuweka akiba na kuwekeza kwa walengwa wote waliopo katika mpango ambapo kila kikundi kina walengwa 10 hadi 15 na mpaka sasa kuna Vikundi 33 vimeanza kuweka Akiba na kuwekeza katika miradi midogo midogo ambayo kwa sasa wameweza kukusanya  TSH 9,124,000.00.

 

Lengo kuu ni la walengwa kujiunga vikundi vya kuweka Akiba ni kukuza utamaduni wa kujiwekea akiba kwa kaya maskini ili kuwawezesha kukabiliana na dharura na mahitaji ya msingi

MALENGO KUHAMASISHA KAYA KUWEKA AKIBA NA KUWEKEZA

  • Kutoa fursa kwa kaya maskini kufikia na kupata huduma za kifedha kutoka kwenye akiba  waliyojiwekea na kuwekeza kwenye miradi ya kiuchumi
  • Kusaidia kuanzishwa kwa mtandao utakaowawezesha kupashana habari zitakazowasaidia kutekeleza shughuli zao ipasavyo.
  • Kuwezesha vikundi/vyama vya kuweka akiba na kuweza kuunganishwa na taasisi za fedha
  • Kutoa fursa kwa kaya maskini kama kikundi,mmojammoja kufikia na kupata huduma za kifedha kutoka kwenye akiba za vikundi, vyama na taasisi mbalimbali za fedha.

UKELEZAJI WA SHUGHULI CHA MRADI CHA TASAF

 Mradi unatekeleza majukumu yake kwa kushirikiana na idara zote  katika halmashauri kwa kutegemea aina miradi iliyoibuliwa,kusanifiwa  na inayotekezwa(Uratibu kisekta), vile vile kwa kuzingatia umuhimu wa TEHAMA Mfumo wa compyuta ndio hutumika kuingiza taarifa za kaya,kuandaa mchakato wote wa  malipo na nyaraka zote zinahitajika wakati wa zoezi la malipo, kushughulikia malalamiko na madai ya walengwa pale yanapojitokeza.

 

 MAFANIKIO YALIYOFIKIWA HALMASHAURI KUPITIA TASAF

  • Kuboreka kwa lishe kutoka lishe duni kwenda lishe bora na idadi ya milo toka mmoja hadi mitatu kwa Kaya
  • Kuongezeka kwa mahudhurio ya wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari wanaotimiza masharti
  • Kuanzishwa kwa miradi mbalimbali yenye kuongeza kipato  
  • Kuundwa kwa vikundi vya kuweka na kukopa 76 kutoka katika Kaya maskini
  • Kaya Maskini kuchangia mfuko wa Afya ya Jamii (TIKA),CHF
  • Kuboresha miundo mbinu kupitia miradi ya nguvu kazi na Ajira za muda

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.