• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

ALAT Ruvuma watembelea Manispaa Mtwara-Mikindani

Posted on: April 8th, 2017

WATENDAJI WAMETAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA SHERIA.

Watendaji wa Halmashauri wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kwa kufuata sheria,taratiibu, kanuni na miongozo inayotolewa na Serikali na kuacha kusingizia siasa kama kikwazo katika utendaji wa kazi zao na utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.

Hayo yamesemwa jana tarehe 7 April 2017  na Mwenyekiti wa Alat Mkoa wa Ruvuma Mh: Daniel Nyambo kwenye kikao cha majumuisho cha ziara ya siku mbili kilichofanyika katika Ukumbi wa Manispaa Mtwara Mikindani.

Bwana Nyambo  Alisema kuwa suala la watendaji kuacha kufanya kazi na kusingizia wanasiasa kwamba wanawakwamisha sio la ukweli,amewataka wafanye kazi kwa kuwa wameapa kufanya kazi na wanalipwa mshahara kila mwezi kwa kazi zao.

“Acheni vizisingio fanyezi kazi kwa kufuata kanuni, taratibu, sheria na miongozo maswala ya siasa waachieni wanasiasa” alisema.

Aidha Mwenyekiti huyo aliishauri Manispaa Mtwara Mikindani kutilia mkazo suala la ukusanyaji wa mapato kwa kuwa wafanyabishara wengi hawako tayari kulipa kodi mbalimbali, alishauri sheria ndogondogo zitumike  katika ukusanyaji wa mapato.

Nae Mtsahiki Meya wa Manispaa ya Songea Mh: Abdul Shaweji aliwashukuru wataalamu kutoka Manispaa kwa kuwapokea vizuri na kuwapa ushirikiano mkubwa, na kusema kuwa wamejifunza mengi, lakini alisisitza kuendelea kushirikiana baina ya Manispaa hizi mbili ikiwa ni pamoja na kujenga tabia ya wataalamu kutembeleana ili kujengeana uwezo utakaoimarisha utendaji wa kazi.

Mstahiki Meya wa Manispaa Mtwara-Mikindani Mh: Geofrey I. Mwanichisye aliwaomba watu wa Mkoa wa Ruvuma kujiona kuwa nao wapo Kusini na kwamba kuna forum ya uwekezaji ya Lindi na Mtwara ni vema Mkoa wa Ruvuma nao wakashiriki ili kuitangaza kusini.

Aidha amewashukuru wageni kwa Ujio wao na kuwaeleza kuwa Manispaa Mtwara-Mikindani tuko imara katika utendaji wa kazi na tunatekeleza kauli ya Mh. Rais ya HAPA KAZI TU.

“Sisi tuko imara na tunatekeleza ahadi ya hapa kazi tu bila ya kujali itikadi ya vyama vyetu”alisema.

Ziara hiyo iliyoanza kuanzia tarehe 6-7 April 2017 ilikuwa na lengo la kujifunza na kujengeana uwezo kuhusu uendeshaji wa shughuli mbalimbali za Halmashauri ikiwa ni pamoja na Kujifunza ukusanyaji wa mapato pamoja usafi wa mazingira.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.