• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Bajeti ya Bil. 35.3 Yapitishwa Mtwara-Mikindani

Posted on: January 18th, 2020

Pichani wajumbe wa baraza la Madiwani la Manispaa ya Mtwara-Mikindani wakiipitia bajeti hiyo mara baada ya kuwasilishwa

Katika kikao cha baraza la Madiwani la Manispaa ya Mtwara-Mikindani kilichoketi Januari 18, 2020 Kimepitisha na Kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi yenye jumla ya shilingi Bilioni 35,329,320,489 kwa mwaka wa fedha wa 2020/2021.

Katika bajeti hiyo Manispaa imepanga kukusanya shilingi Bilioni 4,930,000,000 kutoka katika vyanzo vyake vya ndani na Ruzuku kutoka Serikali Kuu shilingi 710,061,000, Mishahara bilioni 16,980,752,000 na Miradi ya Maendeleo bilioni 12,708,507,489.

Akizungumza wakati wa uwasilishaji wa bajeti hiyo katika Ukumbi wa Mikutano wa Manispaa Kaimu Afisa Mipango wa Manispaa   bwana Mensaria Mrema amesema kuwa bajeti hiyo imelenga katika kuboresha maeneo mbalimbali ndani ya Manispaa kwa kuzingatia vipaumbele vilivyowekwa.

Amevitaja vipaumbele hivyo kuwa ni pamoja na kusaidia upatikanaji wa huduma ya afya ya kadi ya CHF iliyoboreshwa kwa wagonjwa wasiojiweza kabisa hasa wagonjwa akili pamoja na uwezeshaji wa upatikanaji wa hati, urasimishaji na upimaji katika maeneo ambayo yameendelezwa kabla ya kupimwa.

Aidha Katika kuhakikisha vipaumbele hivyo vinatekelezeka pamoja na mikakati mingine iliyojiwekea  Manispaa pia imeongeza mikakati ya kuongeza makusanyo ya ndani kwa kuwezesha ujenzi wa yadi ya nchi kavu kwa kushirikiana na Mamlaka ya Bandari pamoja na kuwezesha ujenzi wa Jimmy /eneo la Mazoezi katika eneo la kupumzikia la Mashujaa.

Kwa Upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mtwara Mikindanimhe. Geofrey Mwanichisye amepongeza wataalamu kwa kazi nzuri ya uandaaji wa bajeti lakini pia amewapongeza Madiwani kwa kuridhia na kuipitisha bajeti.

Aidha amesisitiza wataalamu pamoja na Madiwani kushirikiana pamoja  kuhakikisha mapato yaliyokisiwa yanakusanywa na  kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo.

‘’Sasa hivi nafasi yetu ni kutafuta fedha, kwa sababu kupanga  bajeti ni kitu kimoja lakini ili itimie lazima kuwe na rasilimali fedha, tuhakikishe tunapambana kuhakikisha fedha zinapatikana ili Maendeleo ya Manispaa yetu yaweze kutimia” alisema Mwanichisye

Naye Diwani wa Kata ya Likombe Mhe. Mukhsini Komba amesema kuwa kutokana na Maandalizi mazuri ya bajeti hiyo anaamini watalamu na Madiwani wakishirikiana kwenye kukusanya malengo yatafikiwa bila wasiwasi.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.