• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Baraza La Madiwani Mtwara-Mikindani Lapitisha Bajeti ya Bil. 33.1

Posted on: March 4th, 2024

Baraza la Madiwani la Manispaa ya Mtwara-Mikindani lililoketi Leo Machi 1, 2024 limeridhia na kupitisha rasimu ya mpangp na bajeti ya mwaka wa fedha wa 2024/2025  Shilingi Bilioni thelathini na tatu milioni mia moja tisini na mbili laki moja elfu  hamsini na mbili (33,192,152,000) ambayo imebeba matamanio  ya wananchi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani na imegusa kila sekta

Akiwasilisha taarifa ya mpango huo  kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani, Mkuu wa Idara ya Mipago, Takwimu na Ufuatiliaji ,  Gwakisa Mwasyeba amesema kuwa katika bajeti hiyo Halmashauri imekadiria kukusanya Shilingi bilioni tano milioni mia nne kumi na tisa mia moja arobaini na saba elfu  (5,419,147,000) kutoka katika mapato yake ya ndani, Ruzuku ya matumizi mengineyo (Other Charges) Shilingi milioni mia tisa thelathini na nane mia saba na kumi elfu (938,710,000), Ruzuku ya mishahara Shilingi bilioni kumi na tisa milioni mia sita na sita laki moja kumi na sita elfu (19,606,116,000), Ruzuku ya miradi ya maendeleo kutoka Serikali Kuu Shilingi bilioni nne milioni mia saba arobaini na tisa laki  tatu thelathini na tatu (4,749,333,000) pamoja na ruzuku ya miradi ya maendeleo kutoka kwa wahisani Shilingi bilioni mbili milioni mia nne sabini na nane laki nane arobaini na sita  elfu (2,478,846,000).

Kwa upande wa matumizi  amesema kuwa Manispaa ya Mtwara-Mikindani imepanga kutumia Shilingi bilioni thelathini na tatu milioni mia moja tisini na mbili laki moja hamsini na mbili elfu (33,192,152,000) ambapo Shilingi bilioni tano milioni mia nne kumi na tisa laki moja arobaini na saba (5,419,147,000) zitatoka katika mapato  ya ndani, Shilingi Bilioni saba milioni mia mbili ishirini na nane laki  moja sabini na tisa elfu (7,228,179,000) fedha za miradi ya maendeleo kutoka Serikali Kuu , Shilingi bilioni kumi na tisa milioni mia sita na sita laki moja kumi na sita elfu (19,606,116,000)  zitatumika kulipa mishahara pamoja na shilingi milioni mia tisa thelathini na nane laki saba na kumi (938,710,000 )za matumizi mengineyo (OC).

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.