• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Benki ya NBC yaunga mkono Mpango wa Mstiri Mtoto asome

Posted on: June 1st, 2018

Katika kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Manispaa ya Mtwara-Mikindani kupitia  mpango wake wa msitiri mtoto asome ,benki ya NBC tawi la Mtwara limekabidhi taulo za kike (pads)box  11 zenye thamani ya shilingi 220,000 kwa Mkurugenzi wa Manispaa ili aweze kuzigawa kwa wanafunzi wanaoishi katika mazingira magumu.

Akizungumza kwenye hafla fupi ya makabidhiano ya taulo hizo iliyofanyika Juni 1,2018 katika ofisi za manispaa Meneja wa benki  amesema kuwa wao wameguswa na tatizo linalowakabili watoto hao la kutohudhuria masomo shuleni wanapoingia kwenye siku zao kutokana na ukosefu taulo za kike. Ameongeza kuwa wanaamini  uwepo wa taulo hizo utasaidia watoto hao kuhudhuria masono yao vizuri nakuahidi kuendelea kushirikiana na manispaa katika kulisukuma gurumu la maendelo

Nae Asha Moto balozi wa mpango wa msitiri mtoto asome amesema kuwa kutokana na takwimu zilizofanyika zinaonesha kuwa wanafunzi wengi wanashindwa kuhudhuria darasani wakiwa kwenye siku zao hivyo yeye kama balozi amezungumza na wadau mbalimbali ikwemo benki ya Nbc ili kuunga mkono mpango huo na kusambaza taulo hizo kwa wanafunzi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa Bi Beatrice Dominic ameishukuru benki ya NBC na balozi wa mpango huo  kwa kuanza kuchangia na kuwataka wadau wengine watakaoguswa kuunga mkono jittihada zilizofanywa na Manispaa kwa kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili wahudhurie darasani. Kama wenzao .

 Juliana Manyama ,Afisa Maendeleo ya Jamii wa Manispaa amesema kuwa Mpango wa msitiri mtoto asome umeanzishwa baada ya wataalamu  kufanya utafiti na kubaini  kuwa wanafunzi wanaoishi katika mazingira magumu  kwa siku 60 kwa mwaka hawahudhurii darasani hasa wanapo ingia kwenye siku zao kutokana na ukosefu wa taulo za kike  na kusababisha kushuka kielimu.

Amesema kuwa ili  kukabiliana na tatizo hilo Manispaa ikaanzisha mpango huo kwa kushirikiana na balozi wa mpango bi Asha Moto, wadau mbalimbali na wanajamaii ili kusaidia upatikanaji wa taulo hizo na kuzigawa kwa watoto wetu. Hata hivyo amesema kuwa ili mpango huo uwe endelevu ni vema kila mmoja akaliunga mkono  jambo hilo ili kuwapatia watoto haki ya elimu kama watoto wengine.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.