• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

CCM Mkoani Mtwara yaridhishwa na Utekelzaji wa Miradi ya Maendeleo

Posted on: August 21st, 2021

*Yaagiza Wananchi kuchangia Nguvu kazi katika Utekelezaji wa Ujenzi wa Nyumba za Watumishi Mbae na Mjimwema.

Mweyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara Mhe. Yusufu Namnila ameridhishwa na maendeleo ya miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea   kutekelezwa katika Manispaa ya Mtwara-Mikindani.

“Nimerizishwa na maendeleo ya miradi inayotekelezwa, japo kuna changamoto kama mbili tatu lakini maendeleo ni mazuri na yanaleta hamasa” Amesema   Mhe. Namnila

Mhe. Mwenyekiti ametoa pongezi hizo 20 Agosti, 2021 katika kikao cha  majumuisho ya  ziara ya Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ilipotembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Manispaa yetu.

Amesema kuwa kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo   inaridhisha hivyo amemtaka Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani COL. Emanuel Mwaigobeko, kuongeza kasi zaidi   ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na wananchi wanufaike na miradi hiyo.

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha miundombinu ndani ya Manispaa yetu, Mhe. Mwenyekiti   amemtaka Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani kuhamasisha wananchi ili waweze kuchangia nguvu kazi katika ujenzi wa nyumba za watumishi  hasa katika shule ya Msingi Mbae na Mjimwema.

Aidha ameitaka Mamlaka ya Maji safi na Salama Mkoa wa Mtwara (MTUWASA) kuhakikisha inashughulikia changamoto ya maji katika shule ya Msingi mbae, na kurekebisha bili ya maji katika zahanati ya Mbawala Chini.

“Haiwezekani bili ikiwa 800,000 kwa mwezi wakati hakuna matumizi makubwa hapa, bili haiendani na uhalisia wa matumizi nataka mfatilie na mrekebishe”

Miradi iliyotembelewa na Kamati ya Siasa ya  Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mtwara   ni pamoja na  jengo la  mionzi  katika Kituo cha Afya likombe, ujenzi wa Zahanati ya Mbawala Chini, ujenzi wa  madarasa 2 na matundu  11 ya choo Shule ya Msingi Mbae ,ujenzi wa madarasa 4 Shule ya Msingi Mjimwema,ujenzi wa  Chujio la maji  Mangamba pamoja na   upanuzi  wa uwanja wa ndege.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.