• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • emrejesho |
    • ess |
    • ffars |
    • tausi portal |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Huduma za Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

"Chanjo ya HPV ni Salama na haina madhara kwa matumizi ya binadamu" Naibu Meya Lungu

Posted on: April 22nd, 2024

Ikiwa Leo April 22,2024 Tanzania imezinduanzoezi shirikishi la utoaji wa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi kw awasichana wenyeumrinunaoanzia miaka 9 hadi miaka 14 , Naibu Meya wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Mhe. Sixmund Lungu ametoa rai kwa wasichana wenye umri huo kujitokeza kwa wingi kw ajili ya kupata chanjo huku akiwatoa hofu ya usalama wa chanjo hiyo.

'Zoezi hili la utoaji wa chanjo linafanyika Tanzania nzima, Chanjo hii ni salama n haina amdhara kw amatumizi ya mwanadamu, msiwe na wasiwasi kwani zimefanyiwa uchunguzi wa kutosha "amesema mhe. Lungu.

Mhe Lungu ameyasema hayo kwneye uzinduzi wa wa chanjohiyo uliofanyikakatikaviwanja vya shule ya Sekondari ya Rahaleo.

Aidha amewataka walimu wa Shule zote za Msingi na Sekondari kuw amabalozi wakubwa wa kuwaelimisha wasicahna hao ili waweze kupata chanjo hiyo muhimu na walengwa wote waweze kufikiwa.

Akiongea kwa naiba ya Mkurugenzi wa Mnaispaa ya Mtwara-Mikindani Nicholuos Milanzi ametoa rai kw awazazi na walezi kuwaruhusu watoto wakapate chanjo ya sartani ya mlango wa kizazi ili kumkinga mtoto dhidi ya ugonjwa huo.

Zoezi la Utoaji wa hanjo ya Saratani ya Mlango wa kizazi Limezinduliwa Leo April 22,2024 na litakamilika April 28,2024 ambapo halamshauri ya Manispaa ya Mtwara-mikindani inatarajia kuchanja wasicahan wapatao 10,051

Matangazo

  • Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Udereva September 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -UCHAGUZI JIMBO LA MTWARA MJINI October 04, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tangazo La Nafasi ya Kazi ya Udereva June 27, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Mtwara-Mikindani Yapata Hati Safi Kwa Miaka 18 Mfululizo,RC Sawala Aipa Kongole

    June 20, 2025
  • Idara Ya Ardhi Yakabidhiwa PikiPIki Kudhibiti Ujenzi Holela

    June 16, 2025
  • Viti mwendo 40 Vyakabidhiwa Kwa Wahitaji Manispaa Ya Mtwara Mikindani

    June 12, 2025
  • Vikundi 59 Vya Wanawake Vyakopeshwa MIL.375.5 Awamu Ya Pili

    June 11, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2025 Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani. All rights reserved.