• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

CHMT Mtwara-Mikindani Yapata Mafunzo ya Mfumo wa GoT-HOMIS

Posted on: February 23rd, 2023

Timu ya wasimamizi wa huduma za Afya [CHMT] ya Manispaa ya Mtwara- Mikindani ikipata mafunzo elekezi ya mfumo wa kiektroniki wa GOT-HOMIS ili kuwezesha vituo vya afya na zahanati kutoa huduma kwa ufanisi.

Mafunzo hayo ya siku mbili yameanza leo februari 23 na yanatarajia kuhitimishwa februari 24 katika ukumbi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani yakilenga kuwajengea uwezo na kuwarahisishia Timu ya CHMT  kufanya ufuatiliaji wa mapato na utunzaji kumbukumbu katika vituo vya afya na zahanati.

Katika mafunzo hayo Mada mbalimbali ziliwasilishwa ikiwa pamoja na mfumo wa taarifa za maabara, uwekaji wa  mfumo sahihi wa matumizi ya dawa, utozaji na ukusanyaji wa  mapato ya dawa  pamoja na kutunza kumbukumbu za afya za mgonjwa.

Katika kuhakikisha kuwa mapato kwenye vituo vya afya na  zahanati yanakusanywa vizuri, Manispaa ya Mtwara-Mikindani  imeshafunga mfumo wa GoT-HOMIS kwenye vituo  vya afya na  zahanati zote (Vituo vya afya 2 na zahanati 5) na kwa sasa  mfumo huo unafanya kazi kwenye vituo vyote.

Matangazo

  • Tangazo la Maombi ya Kukimbiza Mwenge wa Uhuru January 27, 2023
  • Taarifa Kwa Umma Mlipuko wa Surua na Rubella February 22, 2023
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Afisa Mtendaji wa Mtaa February 23, 2023
  • Orodha ya majina ya Waliopata Viwanja Mjimwema August 31, 2022
  • Tazama yote

Habari mpya

  • CHMT Mtwara-Mikindani Yapata Mafunzo ya Mfumo wa GoT-HOMIS

    February 23, 2023
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Chanjo ya Surua na Rubella

    February 21, 2023
  • Mtwara Yafanya Matembezi ya Hisani Kuelekea Uzinduzi Mwenge wa Uhuru

    February 18, 2023
  • "Mkahamasishe uzalishaji wa zao zaidi ya moja"DC Msabaha

    February 13, 2023
  • Tazama yote

Video

Simulizi za mabadiliko Shule ya Msingi Rwelu
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.