• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • emrejesho |
    • ess |
    • ffars |
    • tausi portal |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Huduma za Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

DC Kyobya amuagiza Mkurugenzi Kuharakisha Ununuzi vya Ujenzi Zahanati ya Ufukoni

Posted on: November 4th, 2021

Baada ya Zahanati ya Ufukoni kupokea fedha kutoka Serikali kuu   kiasi cha Tshs 250,000,000 kwa ajili ya Upanuzi wa Zahanati hiyo kuwa Kituo cha Afya, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe.  Dunstan Kyobya amemuagiza Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Bi. Tamko Ally kuharakisha  mchakato wa  ununuzi wa vifaa  kwaajili ya ujenzi wa miundombinu  ya  Zahanati hiyo      ili kukamilisha  ujenzi  huo kwa wakati.

Amesema kuwa    ucheleshwaji wa ununuzi wa vifaa utapelekea ujenzi huo kutokamilika kwa wakati   na kusababisha adha kwa   wananchi  kuendelea kufuata huduma katika maeneo mengine.

Mhe. Kyobya ametoa rai hiyo  Novemba 4,2021  katika Ziara ya Kamati ya  Ulinzi na Usalama ya Wilaya  ilipotembelea  kukagua Utekelezaji wa Ujenzi wa Madarasa katika Manispaa yetu.

Aidha amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi na kushiriki kikamilifu katika ujenzi huo ili kuiongezea nguvu Serikali.

 “Kama tulivyoshirikiana katika miradi mingine nawaomba tujitokeze kushiriki kimamilifu maana hiki Kituo cha Afya ni cha sisi wananchi”Amesema Kyobya

 Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Bi. Tamko Ally amemhakikishia Mhe. Kyobya kuwa mchakato wa un ununuzi wa vifaa vya ujenzi utaharakishwa  kama alivyoagiza.

Bi. Salima Namenya Mkazi wa Kata ya Ufukoni amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Mhungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha  za upanuzi wa Zahanati ya Ufukoni kuwa  Kituo cha Afya   kwani Kituo hicho kitapanua wigo katika utoaji wa huduma za Afya.

 

Matangazo

  • Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Udereva September 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -UCHAGUZI JIMBO LA MTWARA MJINI October 04, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tangazo La Nafasi ya Kazi ya Udereva June 27, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Mtwara-Mikindani Yapata Hati Safi Kwa Miaka 18 Mfululizo,RC Sawala Aipa Kongole

    June 20, 2025
  • Idara Ya Ardhi Yakabidhiwa PikiPIki Kudhibiti Ujenzi Holela

    June 16, 2025
  • Viti mwendo 40 Vyakabidhiwa Kwa Wahitaji Manispaa Ya Mtwara Mikindani

    June 12, 2025
  • Vikundi 59 Vya Wanawake Vyakopeshwa MIL.375.5 Awamu Ya Pili

    June 11, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2025 Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani. All rights reserved.