• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
    • emrejesho |
    • ess |
    • ffars |
    • tausi portal |
    • digital signature |
    • E-Maboresho |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Huduma za Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

DC Mwaipaya Asisitiza Wananchi Kupiga Kura,Aimwaga Maua "Uchaguzi Ndile Cup"

Posted on: November 26th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdalah Mwaipaya amewasisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura ili watumie haki yao ya kidemokrasia kupata viongozi sahihi wataongoza vyema Mitaa yao.

DC Mwaipaya ametoa rai hiyo 25 Novemba 2024 wakati wa kuhitimisha michuano ya 'Uchaguzi Ndile Cup' iliyofanyika katika uwanja wa shule ya Msingi Chikongola, Kata ya Tandika, na kushuhudia timu ya kata ya Mtonya ikiibuka bingwa wa michuano hiyo.

Alisema muda mchache umebaki kufikia siku ya Jumatano 27 Novemba 2024, ambayo ndiyo siku rasmi ya Kitaifa kwa wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa hivyo ni vema Kila Mwananchi aliyejiandikisha kupiga kura.

Aidha, alitumia hadhara hiyo kumpongeza Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo, Mhe Shadida Ndile, kwa kuanzisha Michuano hiyo iliyowakutanisha wananchi kwa wingi na kupata elimu na hamasa kuelekea Uchaguzi huo.

Bingwa wa Michuano hiyo Kata ya Mtonya alijitwalia Kombe na fedha taslimu Shilingi Milioni Moja, wakati Mshindi wa pili (Kata ya Jangwani) akijinyakulia fedha taslimu Shilingi Laki Tano.

Katika Mchezo huo wa fainali pia ilishuhudiwa na Mkurugenzi wa Manispaa Mtwara-Mikindani, Mwalimu Hassan Nyange, Katibu Tawala wa Wilaya (DAS), Mwinyi Ahmed Mwinyi pamoja na viongozi wengine wa Chama na Serikali.

Matangazo

  • Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Udereva September 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -UCHAGUZI JIMBO LA MTWARA MJINI October 04, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tangazo La Nafasi ya Kazi ya Udereva June 27, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Mtwara-Mikindani Yapata Hati Safi Kwa Miaka 18 Mfululizo,RC Sawala Aipa Kongole

    June 20, 2025
  • Idara Ya Ardhi Yakabidhiwa PikiPIki Kudhibiti Ujenzi Holela

    June 16, 2025
  • Viti mwendo 40 Vyakabidhiwa Kwa Wahitaji Manispaa Ya Mtwara Mikindani

    June 12, 2025
  • Vikundi 59 Vya Wanawake Vyakopeshwa MIL.375.5 Awamu Ya Pili

    June 11, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2025 Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani. All rights reserved.