• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Fanyeni Kazi Bila Upendeleo

Posted on: June 6th, 2017

‘’FANYENI KAZI BILA UPENDELEO’’AMOUR A. AMOUR"

Watumishi Wa Serikali wametakiwa kufanya kazi za kuwatumikia wananchi kwa usawa bila ya kujali itikadi za vyama, dini,rangi au makabila.

Aidha amesema kuwa  wakati wanakimbiza mwenge wa uhuru  anakagua  mradi wa kiwanda cha korosho amekuta wafanyakazi wengi ana imani ndani ya kiwanda hiko hata wazanzibar wapo hivyo

Hayo yamesemwa na kiongozi wa mbio wa mbio za mwenge wa uhuru 2017 Ndugu Amour A.Amour mnamo tarehe 20/5/2017 wakati anahutubia wananchi katika viwanja vya mashujaa Vilivyopo Manispaa ya mtwara-Mikindani.

Amour amesema kuwa viwanda vinavyofufuliwa vinaongeza ajira kwa wananchi hasa vijana na kuinua hali ya uchumi ya wananchi wa Mtwara na Tanzania kwa ujumla kwa usawa bila kujali itukadi yoyote.

Aidha Amour ameipongeza Manispaa kwa kutenga aslimia tano ya fedha za mapato yake ya ndani katika kutoa mikopo kwa Wanawake na Vijana na kuwataka Maafisa Maendeleo ya Jamii kusimamia vikundi hivyo na kutoa elimu ya kutosha ili waweze kurejesha mikopo hiyo kwa wakati.

Pia ameipongeza Manispaa ya mtwara mikindani kwa kuwa na mradi mkubwa wa kudhibiti wa taka ngumu kwani uwepo wa mradi huo utasaidia kujikinga na magonjwa mbalimbali kama vile malaria. Lakini pia uwepo wa mradi huo utasaidia kutengeneza ajira kwa vikundi vinavyozoa taka kutoka kwenye kaya na kupeleka dampo.

Mwenge wa Uhuru 2017 umezindua mradi 1, Umeweka jiwe la msingi miradi 3 na imekagua na kuona miradi 4 hivyo kufanya jumla ya miradi 8 imepitiwa na mwenge huo yenye jumla ya kiasi cah Tsh. 10,828,431,626/=.

Aidha katika miradi hiyo Wananchi wamechangia 33,000,000/= sawa na 0.3% , Halmashauri imechangia 243,014,640/= sawa na 2.2%, mchango wa Serikali kuu ni Tsh.3,303,498,922 sawa na  30.5 44.8%, michango kutoka  wahisani  ni Tsh.4,848,918,064 sawa na 44.8%  na  michango ya sekta binafsi ni Tsh. 2,400,000,000/= sawa  na 22.2%.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.