• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Kituo Cha Afya Likombe Chapokea Vyandarua 200 Kutoka Kwa Mbunge Mtenga

Posted on: January 2nd, 2025

Katika kuhakikisha kuwa Manispaa ya Mtwara-Mikindani inaendelea kukinga na kutibu  maambukizi ya ugonjwa wa Malaria, Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini Mhe.Hassan Mtenga amekabidhi vyandarua 200 kwa Mganga Mkuu wa Manispaa Dkt. Elizabeth Oming'o Kwa ajili ya kuwapatia watu wenye uhitaji katika Kituo Cha afya Cha Likombe.

Akizungumza baada ya kukabidhi vyandarua hivyo Leo Januari 2, 2025 Kituoni hapo, Mhe. Mtenga amemsisitiza Mganga Mfawidhi wa kituo  hiko Dkt.Victor Andrea kuvigawa vyandarua  kwa watu wenye uhitaji na kuisisitiza Idara ya afya kuweka mpango kazi na mikakati ya kudhibiti ugonjwa huo kwa kuwahimiza wananchi kufanya usafi kwenye maeneo wanayoishi ili kuua mazalia ya mbu wanaosabisha ugonjwa wa malaria.

Katika hatua nyingine Mhe. Mtenga amewashukuru na kuwapongeza wafanyakazi wa kituo cha afya cha Likombe Kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuwahudumia wananchi hali inayopeleka wagonjwa kukimbilia kituoni hapo kufuata huduma bora.

Aidha amemuagiza Mganga Mkuu wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Dkt. Elizabeth Oming’o kuweka dirisha la kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kukata bima ya afyankwenyenkila Kituo Cha afya na Zahanati  na amewasisitiza wananchi kukata bima za afya ili waweze kupata matibabu ya uhakika

Ili kuimarisha usalama wa mazingira katika Kituo hiko, Mhe. Mtenga ameahidi kuchangia tofali 2000 na mifuko ya saruji kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa uzio.

Kwa upande wake Mratibu wa malaria Manispaa ya Mtwara-Mikindani.... amesema kuwa kiwango cha maambukizi ya ugonjwa wa malaria kimeongezeka kutoka asilimia 7.2 mwaka 2023 hadi asilimia 8.9 mwaka 2024 kwa sababu ya mabadiliko ya tabia ya nchi, uwepo wa mabwawa, madimbwi na vyanzo vingine vya maji pamoja na uelewa mdogo wa baadhi ya wananchi.

Amesema kuwa ili kudhibiti ugonjwa huo Manispaa inaendelea kuhamasisha matumizi ya

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.