• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Kamati ya MipangoMiji Yapendekeza Kufutwa Kwa Miliki za Viwanja 7 Visivyoendelezwa Kwa Muda Mrefu

Posted on: September 5th, 2024

Kutokana na uwepo wa viwanja vingi ambavyo vimemilikishwa kwa muda mrefu ( zaidi ya miaka 20) na  kutokuendelezwa kabisa  kinyume na masharti ya umiliki na uendelezaji ardhi yaliyoainishwa katika hatimiliki za viwanja husika, Kamati ya MipangoMiji Manispaa ya Mtwara-Mikindani imetembelea Viwanja Saba vilivyopo maeneo ya Mjini katika kata ya Shangani, Chuno na Magomeni na kupendekeza kufutwa kwa miliki za viwanja hivyo ambavyo vimemilikishwa kwa muda mrefu na  havijaendelezwa.

Kamati hiyo imejiridhisha na mapendekezo ya ufutaji wa miliki za viwanja husika na hivyo kuelekeza kuwa taratibu zote za kisheria zifuatwe  na  mapendekezo ya ufutaji au ubatilishaji wa miliki hizo yawasilishwe kwenye ngazi zinazohusika ili

taratibu za ufutaji wa miliki hizo zitakapokamilika, viwanja  hivyo  viweze kugawiwa kwa wananchi wengine wenye uhitaji na uwezo wa kuendeleza kwa wakati.


Mkuu Idara ya Mipango Miji Bwana Maiga Rugembe amesema kuwa zoezi la ukaguzi wa viwanja visivyoendelezwa pamoja na kuchukua hatua za kubatilisha au kufuta miliki za viwanja visivyoendelezwa ni endelevu na litaendelea kufanyika kwa kuzingatia matakwa ya Sheria ya Ardhi sura 113 na Kanuni zake za mwaka 2001

Aidha ametoa Rai Kwa wananchi wote wanaomiliki Viwanja katika maeneo mbalimbali ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani kutekeleza masharti ya umiliki yaliyoainishwa kwenye nyaraka zao za  umiliki (Hatimiliki).

Amekumbusha masharti hayo kuwa  ni pamoja na kulipia Kodi ya pango la Ardhi kwa kila mwaka, Kuendeleza  viwanja ndani ya kipindi cha miezi 36 tangu walipomilikishwa kwa kupewa kibali cha ujenzi kutoka Halmashauri husika,   Kulinda na kutunza alama za mipaka ya kiwanja pamoja na kulinda na kutunza kiwanja au viwanja dhidi ya uvamizi au uharibifu wowote.

Ameendelea kusisitiza kuwa Kushindwa kutekeleza masharti hayo ni kukiuka masharti ya umiliki na hivyo kupelekea kufutiwa  umiliki na kiwanja/ viwanja husika.

Aidha amewataka wamiliki wa viwanja kurekebisha kasoro / dosari hizo za umiliki kwa kuzingatia na kutekeleza masharti ya umiliki ili kuepuka kufutiwa haki ya umiliki wa viwanja vyao.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.