• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Madiwani ,Wakuu wa Idara Wakabidhiwa Vishkwambi 50 Kwa ajili ya Uendeshaji wa Vikao

Posted on: November 8th, 2024

Katika Kuendana na  mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia yaliyopo sasa ,Manispaa ya Mtwara-Mikindani imekabidhi vishkwambi 50 vyenye thamani ya Shilingi 32,155,000 kwa waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Idara na Vitengo ili kuwezesha ufanisi wa Utendaji kazi katika vikao mbalimbali vya kisheria  pamoja na kupunguza gharama ya ununuzi wa shajala zinazotumika katika maandalizi ya makblasha yanayotumika Kwenye vikao hivyo.

Vishkwambi hivyo vimekabidhiwa Leo Novemba 8, Kwenye Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za Halmashauri robo ya kwanza ya mwaka 2024/2025 uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Manispaa hiyo.

Akizungumza mara baada ya Kukabidhi vifaa hivyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Mhe.Shadida Ndile amewaasa waheshimiwa Madiwani na Wataalamu hao kuvitumia kwa malengo yaliyokusudiwa na kuvitunza ili viweze kudumu Kwa muda mrefu.

"Sitarajii kuona mnatumia vibaya vishkwambi hivi, Wala kuvitumia Kwa matumizi binafsi,na atakaebainika kuvitumia vifaa hivyo kuvujisha Siri za Serikali atachukuliwa hatua za kisheria"amesisitiza Mhe.Ndile.

Awali akisoma taarifa ya ugawaji wa vifaa hivyo ,Mkuu wa Kitengo Cha TEHAMA Manispaa ya Mtwara-Mikindani Athumani Mfaume amesema kuwa vifaa hivyo vimenunuliwa Kwa ajili ya kupokea na kutunza taarifa za Serikali ambazo ni Siri na mtu yeyote hataruhusiwa kusambaza kwa mtu yeyote pamoja na mitandao ya kijamii.

Amesema kuwa vifaa hivyo havitatumika katika mazingira hatarishi ambayo yatapelekea

Matangazo

  • Tangazo La Nafasi ya Kazi ya Udereva June 27, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tangazo La Kuitwa Kazini October 18, 2024
  • Tangazo la ufafanuzi wa Majina kwenye Akaunti za mishahara June 06, 2017
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.