• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Madiwani Wapitisha Miradi Nane Mipya ya Kimkakati itakayotekelezwa na TACTIC

Posted on: April 30th, 2021

Baada ya mradi wa uendelezaji Mjiji Mkakakti (TSCP) kumaliza muda wake januari mwaka huu,  Baraza la Madiwani la Manispaa ya Mtwara-Mikindani leo April 2021 limepitisha mapendekezo ya miradi minane mipya ya iimkakati  inayotarajiwa kutekelezwa kupitia mradi mpya wa mpango wa kuimarisha miundombinu (TACTIC)unaotarajia kuanza hivi karibuni chini ya ufadhili wa benki ya Dunia.

Akizungumza mara baada ya mapendekezo ya miradi hiyo kupitishwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Bi. Shadida Ndile amewataka madiwani kupokea na kubariki miradi hyo na kuwa wasimamizi wazuri pindi fedha za utekelezaji wa miradi zitakapofika .

Nae Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Dunstan Kyobya ametoa hamasa kwa viongozi hao kuhakikisha wanaisimamia miradi hiyo itakapoanza kuetekelezwa.

Miradi iliyopendekezwa ni Pamoja na

  • ujenzi wa stendi mpya yam abasi ya Chipuputa, ujezi wa barabara z akuingia n akutoja stendi na ujenzi wa maegesho ya magari
  • Ujenzi wa mifereji ya maji ya mvua kutoka maeneonyanayotuamisha maji ya kiyanguna ligualna kuimarisha miundombinu ya maji taka eneo la mtepwezi
  • Ujenzi wa barabaara ya Magoemni -Mbae-Mjimwema-Mikimndani(km 14) kw akiwango cha lami
  • Ujenzi w abarabra na mifereji u ya mvua maeneo yanayozunguka soko jipya la Chuno n akuboresha soko la chuno
  • Ujenzi w akiw da kidogo cha wajasiriamali cha ubanguaji  wa korosho skoya
  • Ujenzi w asoko la kisasa la samaki na kuboresha miundombinu ferry
  • Kuboresha miundombinu ya makazi holela Chipuputa, Kagera na Mbae Mashariki
  • Ujenzi wa maghala ya kuhifadhia bidhaa

IKumbukwe kuwa Kabla ya Mradi wa TACTIC kuanza Mnaispaa ya Mtwara-Mikindani ilikuwa inatekeleza mradi wa uendelezaji Miji Mkakati (TSCP) ulioana kuteklezwa kuanzia mwaka 2010 hadi 2020 kwa kutekelza miradi ya barabara za Zambia ,chuno, boma, Senegal, Bandari, ujenzi wa soko lakisasa la chuno, bustani za kupumzikia , dampo la kisasa Mnagamba kw agharama ya Bilioni.

Baada ya baraza kupitisha mapendekezo hayo yanapelekwa tamisemi  Mkurugenzi ataipelekea miradi hiyo kwa wahusika ili kujua kwa hatua

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.