• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Manispaa yapongezwa kwa kupata hati safi

Posted on: July 27th, 2018

Baada ya kukamilika kwa mawasilisho ya taarifa ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali mkoa wa Mtwara na uwasilishaji wa majibu ya hoja za ukaguzi ,Mhe.Gelasius Byakanwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ameipongeza Manispaa ya Mtwara-Mtwara -Mikindani kwa kupata safi kwa mwaka wa fedha wa 2016 /2017.

Amesema kuwa uwepo hati safi kwenye halmashauri yoyote ile ni ishara tosha ya kuonesha kuwa sheria, taratibu na miongozo ya Serikali inafuatwa hivyo amewataka wataalamu kuendelea kusimamia miongozo ,sheria na taratibu ili kupunguza hoja zisizokuwa na msingi.

Byakanwa amezungumza hayo Julai 27,2018 kwenye baraza maalumu la madiwani lililojadili  taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali lililofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa boma Mkoa.

Pamoja na pongezi hizo ameitaka Manispaa kuishirikisha ofisi ya mkaguzi wa hesabu za Serikali inapotaka kufanya manunuzi makubwa lakini pia kufanya kazi na makampuni yanayotoa risisti za EFD ili kuepusha hoja zisizo na ulazima ,

Aidha amempongeza mkurugenzi wa Manispaa na kumtaka kuongeza nguvu kwenye ukusanyaji wa mapato ili miradi ya maendeleo iweze kutekelezwa.

‘’Mkurugenzi endelea kupambana, tafuta vyanzo vya mapato, tekeleza miradi ukiondoka watakukumbuka, bado tunahitaji vyanzo vipya vya mapato wewe na menejiment endeleni kuumiza akili” alisema byakanwa

Nae mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani amesema kuwa kwa wa fedha wa 2016/2017 Manispaa ilikabidhiwa na kuhojiwa jumla ya 22 na ukijumlisha na hoja za nyuma manispaa ilikuwa na hoja 87 na kati ya hoja hizo 72 zimefungwa na kubakiwa na hoja 15 ambazo zipo kwneye utekelezaji.

Awali akizungumza wakati wa uwasilishaji wa taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Ibrahim Mdendemi mwakilishi wa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali  Mtwara alisema kuwa kwa mwaka fedha wa 2016/2017 Manispaa ilipata hati safi (unqualified opinion).

 

 

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.