• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Manispaa Yasaini Mkataba wa Bil.21.7

Posted on: June 9th, 2018

Timu ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani ikisaini Mkataba na Kampuni ya M/S Siangxi Geo Engeneering(Group) Corportion kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu mbalimbali

Mradi wa Uendelezaji Miji Mkakati (TSCP) umeendelea kuboresha miundombinu mbalimbali ndani ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani baada ya jana kusaini mkataba wenye gharama ya shilingi bilioni 21,676,274.58 na kampuni ya M/S Siangxi Geo Engeneering(Group) Corportion kutoka China kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali.

Ujenzi wa miundombinu hiyo utasaidia kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo ujaaji wa maji ya mvua zinazosababisha athari kwa jamiii kiwa  ni pamoja na vifo  na uharibifu wa mali za wananchi, ukosefu wa sehemu za kupumzikia, uwepo wa soko dogo ambalo halikidhi mahitaji.

Akizungumza kwenye sherehe za kusaini Mkataba huo zilizofanyika Juni 8,2018 kwenye Ofisi ya Mstahiki Meya, Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Bi Betarice Dominic  ameishukuru Serikali kwa kuendelea kuleta miradi kwenye Manispaa inayoenda kutatua chagamoto nyingi na kuitaka  kampuni hiyo kufanya kazi kwa weledi kama mkataba unavyiotaka ili kazi ikamilike kwa wakati.

Aidha amesema kuwa manispaa inafanya shughuli nyingi za kusaidia  jamii kwa kushirikiana na wadau  hivyo ana amini ujio wa kampuni hiyo watashirikiana pamoja  katika kusaidia jamii ya Manispaa

“kwa sasa sisi na ninyi ni marafiki ni imani yangu kuwa tutafanya kazi pamoja na kwa kushirikiana ikiwemo kusaidia jamii inayotuzunguka kwenye mambo mbalimbali yanayowahusu ikiwemo afya elimu” . Alisema Beatrice.

Mhe. Geofrey Mwanichisye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani amesema kuwa nchi ya China na Tanzania zina historia kubwa  hivyo anaamini Kampuni hiyo itafanya kazi kubwa na nzuri na kuwataka kukamilisha kazi hizo kwa wakati kama ilivyopangwa.

Nae Meneja Mradi wa kampuni hiyo Chen Xianghua ameahidi kufanya kazi hiyo kwa weledi mkubwa na kuwa ana imani kazi hiyo itakamilika kwa wakati kama mkataba unavyosema.

Kwa upande wake Isaac Mpaki mhandisi wa Manispaa amesema kuwa mkataba huo utatekelezwa kwa muda wa miezi 15 na kutaja miradi itakayojengwa kuwa ni pamoja na ujenzi wa stendi ndogo ya mabasi Mikindani, Ujenzi wa soko Chuno,Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha Lami (COTC,Shangani-Chuno na Senegal), Ujenzi wa mfereji wa kuondoa maji ya Mvua kutoka Skoya-Nabwada,Sido,Shakuru ,maghalani kuelekea bonde la Mtepwezi.hadi baharini, uboreshaji wa sehemu za kupumzikia Mashujaa, Tilla na Maduka Makubwa.

Manispaa imeanza kutekeleza Mradi wa Uendelezaji Miji Mkakakati tangu mwaka 2010 ukijenga miradi ya barabara(bandari, Zambia, Kunambi, Chuno na Mikindani), Ujenzi wa dampo kuu la Kisasa Mangamba pamoja na ujenzi wa vizimba 25 vya kuzolea taka,Ununuzi wa magari ya kuzolea taka na Mitambo,Ujenzi wa maabara ya kupimia udongo,ununuzi wa magari sita ya Ofisi. Aidha fedha zote zinazotumika kujenga miundombinu hiyo zinatoka Benki ya Dunia Ukiwa kama Mkopo kwa Serikali na kusimamia na Ofis ya Rais-TAMISEMI

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.