• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Mbawala chini wahamasishwa ujenzi wa Zahanati

Posted on: July 28th, 2017

Mbawala Chini Wahamasishwa Ujenzi Wa Zahanati

Wananchi wa  Mtaa wa Mbawala chini Manispaa Mtwara-Mikindani wametakiwa kuendelea kujitolea kwa hali na mali katika kufanikisha ujenzi wa Zahanati katika Mtaa wao.

Ujenzi wa Zahanati hiyo utasaidia kuondoa adha inayopata Wananchi wanapougua kwa kuwa umbali uliopo kutoka mbawala chini  hadi ilipo zahanati  kwa sasa ni km 15 .

Akizungumza katika mkutano wa Uhamasishaji uliofanyika  julai 19 Mbawala chini ,Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe Evod Mmanda alisema kuwa pamoja na Wananchi hao kutambua kuwa suala la Maendeleo linawagusa na kuamua kutoa eneo hekari 5 na matofali 4000 kwa ajili ya ujenzi huo, bado Wananchi wanatakiwa kuendelea kujitolea hadi Zahanati hiyo itakapo kamilika.

Aidha Mmanda alisema kuwa pamoja na wao kuonesha juhudi hizo Ofisi ya Mkurugenzi ya  imewaunga mkono na imetenga kiasi cha Tsh milioni 40 katika bajeti yake ya 2017/2018 kwa ajili ya ujenzi huo, na Milioni 20 iko tayari na itatolewa karibuni.

Pamoja na hayo Mmanda amewataka Wananchi hao kuchangia na kujiunga kwenye mfuko wa bima ya afya (TIKA) ambayo inagharimu kiasi cha Shs 5000 kwa kila mmoja kwa mwaka mzima kwa kuwa ugonjwa haupigi hodi.

‘’Tunaweza kujenga hospitali hapa siku ugonjwa ukikukuta huna pesa mfukoni na haujakata bima ya afya ni sawa na kazi bure hospital haitakusaidia kitu ninawaomba mkakate bima ya afya’’alisema Mmanda.

Naye Mkurugenzi wa Manispaa Mtwara- Mikindani Beatrice Dominic amesema kuwa ana imani kuwa Wananchi watakuwa tayari kuchangia na kwamba hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu wa fedha baadhi  ya majengo yatakuwa yameshakamilika.

“Nitafurahi sana kama wananchi wa mbawala chini tutakuwa tayari kuchangia tukitoka hapa na kwamba hadi kufikia mwisho wa mwaka 2017/2018 vyumba vichache vya zahanati vitakuwa vimeshakamilika”alisema Beatrice.

Awali akisoma taarifa ya Mtaa huo Kaimu Afisa mtendaji wa Kata Hamisi adam alisema kuwa pamoja na Wananchi kutoa hekari 5 na tofali kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati bado Mtaa unakabiliwa na tatizo la kutokuwepo kwa maji safi na salama, barabara mbovu kutoka Mbawala chini hadi Naliendele pamoja na kutokwepo kwa Zahanati.

Nae MHE Diwani wa Kata ya Naliendele aliwashukuru viongozikwa kukubali kufika Mwawala chini kwna kujionea wao wnyewe hali halisi iliyopo na kuahidi yeye na Wananchi kujitoa kwa hali na mali kuhakikisha ujenzi wa zahanti hiyo inakamilika.

‘

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.