• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Mbunge Viti Maalumu agawa TruckSuit 100

Posted on: December 17th, 2017

MBUNGE VITI MAALUMU AGAWA TRUCKSUIT 100 KWA KIKUNDI CHA MICHEZO CHA  AKINA MAMA

Mbunge Viti Maalumu  Mhe Annastanzia Wambura amegawa nguo za mazoezi (trucsuiti) 100 zenye thamani ya shilingi 2,600,000 kwa klabu ya mazoezi ya akina mama wa Kata ya Tandika na Chikongola.

Trucksuit hizo zenye thamani ya shilingi milioni 2,666,000 zimetolewa na Mfuko wa hifadhi ya Jamii (PPF) kupitia mbunge  huyo ikiwa ni kuunga mkono agizo la Makamu wa Rais liilotaka Wananchi kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao

Akizungumza katika tukio la ugawaji wa nguo lilifanyika disemba 16 mwaka huu kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Majengo  Wambura  amewapongeza akina mama hao kwa kuweza kujikusanya na kuanzisha kalbu hiyo ya mazoezi kwa kuwa mazoezi yanasaidia kuimarisha mwili na yanaimarisha mahusiano baina yao.

Amesema kuwa  amefurahi kuona kikundi hiko kimeongeza wanachama wapya wakiwemo watoto kwani imekuwa ni fursa nzuri kwa wazazi kuzungumz nao kuhusu maadili na kuwataka kila baada ya muda wa mazoezi  kuisha wazungumze nao, Aidha amesema uwepo wa watoto hao kwenye mazoezi utawasaidia kujiepusha na mambo mbalimbali ya Anasa.

Pamoja na hayo Wambura amewataka wana kikundi hao kujishughulisha na shughuli mbalimbali za ujasiriamali kwa kuwa anaamimi kuwa kama wameweza kujitoa kufanya mazoezi basi hawashindiw kufanya shughuli  za ujasiriamali ambazo zitawapatia kipato cha ziada.

Aidha Wambura alimpongeza Mkurugenzi wa Manispaa kwa kuwaunga mkono wanawake ikiwemo utoaji wa mikopo kwa wajasiriamali  na kumuomba awasaidie akina mama hao ili waweze kupata mikopo lakini pia kusawazisha kiwanja wanachofanyia mazoezi.

Kwa upande wake Katibu wa kikundi hiko Fatuma Jana amesema kuwa kikundi kimeshachagua uongozi na wameshaanza kuchangishana fedha shilingi 1000 kila Jumamosi na kwamba hadi sasa wana fedha taslimu shilingi 250,000 na wako mbioni kujisajili .

Amesema kuwa kama kikundi wamekubaliana wafanye kazi za pamoja ingawa kila mmoja ana shughuli zake binafsi hivyo wameamua wafanye shughuli za kilimo na kwamba wanaomba wapatiwe eneo la kilimo ili waweze kulima kwa pamoja

Aidha amewashukuru PPF kwa msaada wa kuwapatia nguo hizo na kwamba idadi ya wananchama imeongezeka hivyo wanaomba wasaidiwe tena ,Pia amewakaribisha wananchi wengine waende kujiunga kweye mazoezi kwa ajili ya kuimarisha afya.

Nae  Mkurugenzi wa Manispaa amewapongeza wanakikundi hao kwani  wanachokifanya ndo uchumi wenyewe kwa kuwa wasipofanya mzazoezi afya inaweza ikaterereka na wakashindwa kufanya shughuli za ujasiriamali.

Mkurugenzi Amesema kuwa Manispaa imeendelea kutii agizo la Serikali la kutenga asilimia kumi kwa ajili ya Mfuko wa Wananwake na Vijana na kwamba hivi karibuni manispaa imetoa shilingi milioni154.1 kama mikopo kwa vikundi vya wanawake na vijana na kwamba fedha zingine zimebaki kwenye mfuko.

Amewasisitiza akina mama hao kubuni njia nzuri za kufanya biashara zao ziwe zenye ubora  na kwamba wanaposikia viwanda vidogo sio mpaka uwe na mashine kubwa kwa ajili ya uzalishaji wa bidhaa. Aidha amewaahidi akina mama hao kabla ya kujisajili atawapatia wataalamu wa Maendeleo ya Jamii kwa ajili ya kuwapa mafunzo yatakayowawezesha kufanya ujasiriamali wao vizuri.

Aidha amesema kuhusu changamoto ya eneo kwa ajili ya wajasiriamali ameahidi kukutana na diwani ili wa Kaa husika ili waone kama kuna Taasisi ina eneo kubwa waweze kuwaombea wanachama hao kwa ajili ya kufanya shughuli za kilimo kama wanavyohitaji.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.