• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Meya Ndile awataka Wananchi Kujitokeza Kutatua Changamoto Katika Sekta ya Elimu

Posted on: July 7th, 2021

Kutokana na muitikio mdogo wa wananchi kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii , Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani  Bi. Shadida Ndile  ametoa rai kwa wanchi wa Mnaispaa ya Mtwara-Mikindani  kushirikiana na Serikali katika kutatua Changamoto mbalimbali za Elimu ili kuiunga mkono Serikali katika kuleta Maendeleo.

Amesema kuwa kila mwananchi ana wajibu wa kushiriki  kikamilifu katika shughuli mbalimbali za Maendeleo pamoja na kujitoa ili kutatua changamoto zinazoikumba jamii hususani sekta ya elimu.

Mhe. Ndile ametoa rai hiyo Julai 6,2021 katika cha wadau wa Elimu cha Uwasilishaji wa taarifa ya bodi ya mfuko wa Elimu Manispaa ya Mtwara-Mikindani kilichoambatana na Uchaguzi wa Mwenyekiti na wajumbe wapya wa bodi ya Mfuko wa Elimu kilichofanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Call and Vision.

"Baada ya Serikali kutangaza elimu bure muitikio umekuwa mkubwa, siis kama wazazi na wadau wa elimu tunawajibu wa kushiriki katika kubotesha elimu nchini, tushirkiane na Serikali katika kuhakikisha kuwa watoto wetu wanapata elimu bora kwa kushirikiana kutatua changamoto katika shule zetu" Alisema Mhe. Ndile

Awali akiwasilisha taarifa ya bodi ya Mfuko wa Elimu Mwenyekiti mstaafu wa bodi hiyo bwana. Smthies Pangisa amesema kuwa kati ya mwaka 2018 hadi 2021 Mfuko huo ulikusanya shilingi 48,933,472 kutoka kwa wadau wa Elimu na katika hizo shilingi 47,478,270 zimetumika kuboresha n akuendleeza ujenzi wa miundombinu katika baadhi ya Shule za Msingi na Sekondari zilizopo katika Manispaa yetu.

Kwa upande wake Mwenyekiti moya wa bodi ya Mfuko wa Elimu Selemani Nahatula ameahidi kushirikiana na wadau wa elimu pamoja n akutoa hamasa kwa wananchi ili kuleta chachu kat9ka kuboresha miundombinu ya ufundishaji katika shule zilizopo ndani ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani


Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.