• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Mkuu wa Mkoa Akutana na Viongozi wa Dini na Wazee Maarufu

Posted on: November 22nd, 2017

MKUU WA MKOA  WA MTWARA AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI NA WAZEE MAARUFU MJINI MTWARA.

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius E. Byakanwa   Novemba 21, 2017 amefanya kikao  cha pamoja na wazee maarufu pamoja na Viongozi wa dini Wa Mtwara Mjini kwa lengo la kujitambulisha na kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Mkoa.

Katika kikao hiko  ambacho kilifanyika katika ukumbi wa Boma Mkoa Mkuu wa Mkoa alizungumza mambo mengi yanayowahusu wazee pamoja na wana Mtwara kwa ujumla. Aidha Mkuu huyo alisema kuwa amefurahishwa wazee na viongozi hao kuitikia wito wake na kwamba imemuonesha kuwa wenyeji wapo na amepokelewa vema.

Mheshimiwa Byakanwa alisema kuwa kutokana na umri waliokuwa nao wazee hao ni lazima mabenki yatenge dirisha maalumu kwa ajili ya kuwahudumia wazee hao, akina mama  wajawazito pamoja na watu wenye mahitaji maalumu.

Aidha kwa upande wa zao la korosho amesema kuwa Serikali ya Mkoa imeagiza malipo ya wakulima yote yapitie benki na kwamba wakulima wahamasishwe kufungua akaunti  kwa ajili ya kutunza fedha zao. Ameongeza kwa kuwataka wakulima hao kuwa na utamaduni wa kuweka akiba  na kwamba wanapoenda kutoa fedha benki watoe kidogo kidogo kwakuwa kukaa na fedha nyingi nyumbani inahatarisha usalama wa maisha yao.

Pia amewataka wafanyabiashara wa korosho wote kutumia bandari ya Mtwara kusafirisha korosho zao kwa kuwa serikali kuu ilishatoa fedha kiasi cha shilingi bilioni …… kwa ajili ya upanuzi wa bandari hiyo. Hata hivyo amesema hadi wiki iliyopita Bandari ilishakusanya shilingi bilioni 24 tangu msimu  ulipoanza.

Kwa upande wa Elimu Mkuu wa Mkoa amesema haridhiki na matokeo ya mtihaniwa taifa wa darasa la saba ambapo Mkoa upo kwenye nafasi tano za mwisho na hivyo amemuagiza Katibu Tawala tawala aitishe kikao cha wadau wa Elimu ili waweze kujadili changamoto za elimu na namna ya kuzitatua.

Byakanwa amewataka Wakurugenzi kuhakkisha kuwa wanachi wao wamekata bima ya afya nakwamba baada ya msimu kumalizika aandaliwe taarifa itakayoonesha wanachi walojiunga kwenye mfuko wa bima ya afya.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.