• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Mpango Kabambe umekuja kuongeza Thamani ya Ardhi.

Posted on: June 6th, 2017

MPANGO KABAMBE UMEKUJA KUONGEZA THAMANI YA ARDHI.

Wananchi wa Mtwara wametakiwa kutokuwa na hofu na uwepo wa Mpango kabambe wa Mji wa Mtwara kwani uwepo wake utasaidia kuinua thamani ya ardhi ya Mtwara kwa kuwa ardhi hiyo imepangika vizuri.

Hayo yamesemwa jana na  Waziri Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi Mh. William Lukuvi wakati wa uzinduzi wa  Mpango kabambe wa Mji wa Mtwara  uliofanyika kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa  Mtwara .

Waziri Lukuvi alisema kuwa uwepo wa mpango huo utasaidia Mji kupangika vizuri na hivyo kuvutia wawekezezaji kuja kuwekeza Mtwara kwa ajili ya ujenzi wa viwanda mbalimbali.  Aidha alisema kuwa Serikali imejipanga kuleta wawekezaji wengi Mkoani Mtwara.

Mh Lukuvi aliendelea kusema kuwa Mpango huo haukuja kunyang’anya ardhi ya mtu wala kubadilisha mipaka ya kiutawala iliyopo kati ya halmashauri mbili ambazo zimeunda mpango kabambe huo. Badala yake uendelezwaji wa maeneo ya mpango yatafanywa pamoja na kila Halmashauri itapata mapato yake.

Aidha amewataka Waheshimiwa Madiwani na Watendaji wa Idara ya Ardhi kuacha kudai rushwa ili waweze kupitisha maombi ya ramani za ujenzi.

“Waheshimiwa Madiwani na Watendaji acheni kupokea rushwa iili wananchi wapitishiwe ramani zao mnachelewesha Maendeleo”alisema Lukuvi.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Mtwara aliishukuru Wizara kwa kusimamia jambo hili na hatimae limezinduliwa rasmi, aidha alisema kuwa uwepo wa mpango huo utasiaidia kutatua migogoro mingi ya ardhiambayo ni changamoto kubwa kwenye halmashauri zetu.

Awali akisoma taarifa ya Mpango Kabambe wa Mji wa Mtwara Afisa MipangoMiji wa Manispaa Mtwara Mikindani Hamza Sikamkono alisema kuwa Mchakato huo ulianza mudamrefu na kwamba sababu zilizopelekea uwepo wa Mpango kabambe ni pamoja na Ongezeko la idadi ya watu,ongezeko la mji,ugunduzi wa miradi ya gesi, mpango wa Taifa wa kuiendeleza Mtwara.

Nae Afis ardhi wa halmashauri ya Wilaya ya Mtwara alibainisha maeeno matano ya mpango ikiwemo…………

Mpango kabambe wa Mji wa Mtwara unahusisha halmashauri  ya Manispaa Mtwara-Mikindani pamoja na halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, Mpango huo unahusisha kata 18 zilizopo Manispaa na kata 9 kutoka halmashauri ya wilaya ya Mtwara.Mpango huu utadumu kwa miaka 20 kuanzia 2015-2035.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.