• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Mtu anapokuja kwa Lengo la kukosoa mpokee na tukubali kukosolewa'Mongogwela

Posted on: September 25th, 2017

“MTU ANAPOKUJA KWA LENGO LA KUKOSOA MPOKEE NA TUKUBALI KUKOSOLEWA’MONGOGWELA

Maafisa malalamiko wametakiwa kuwapokea wananchi wanaofika ofisini kwa lengo la kukosoa serikali na kukubali kukosolewa kwa kuwa ni njia moja wapo ya kuimarisha mahusiano na utawala bora.

Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Renatus Mongowela kwenye ufunguzi wa mafunzo ya ushughulikiaji wa malalamiko yaliyofanyika katika Ukumbi wa hoteli ya Tiffany Septemba 25, 2017.

Amesema  kuwa utawala makini ni ule unaohakikisha kuwa kunakuwa na mawasiliano kati ya Wananchi na Serikali yao,Wananchi wanayohaki ya kuchangia mawazo na michango yao kwa serikali hivyo ni lazima kuhakikisha kuwa mawazo ya Wananchi hao yanajadiliwa na kutatuliwa.

Amesisitiza Maafisa malalamiko kuwajengea mfumo wananchi waweze kutoa mawazo yao bila woga, kwani Mwananchi anaetoa maoni na mawazo yeye ni mdau mkubwa wa maendeleo  na amekubali

Aidha amewataka Maafisa hao kuhakikisha Malalamiko yote yanayoshughulikiwa ni lazima yarekodiwe na kutunzwa vizuri kwenye rejista kwani yawezekana afisa anayeshughulika malalamiko hayo  kuhama hivyo kusaidia atakayeshika nafasi yake kuwa na mwanzo nzuri pindi anapofika mteja ambaye tayari alishashughuliwa awali kwa lalamiko lilelile.

Hata hivyo amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuwa makini na malalamiko wanayoyashughulikia na kama kuna ugumu kwenye utatuzi wa lalamiko hilo wasisite swala hilo kulipeleka mbele zaidi.

“Ninawaasa muda wowote mnapoona lalamiko lililotolewa huwezi kulitatua usisite kulipeleka mbele na likipatikana ufumbuzi mrejesho utolewe kwa muhusika”alisema Mongogwela.

Mongowela amatoa rai kwa washiriki wa mafunzo hayo kuwa elimu waliyoipata kwenye mafunzo hayo isiishie hapo badala yake isambazwe kwa kwa wnaopata huduma ambao ni Wnanachi.

Awali akitoa taarifa fupi ya Mradi uliofadhili mafunzo hayo mwakilishi kutoka katika shirika la ps3 ndugu Peter Kilima alisema kuwa Mradi wa uimarishaji Mifumo kwa sekta za umma umefanya shughuli nyingi mpaka sasa ikiwemo utoaji wa mafunzo kwa Madiwani, Imeanzisha Tovuti kwa halmashauri 123 za Tanznaia bara ,umetoa mafunzo ya Plan Rep ,umetoa mafunzo kwa watoa huduma vituoni namna ya kupanga matumizi kwenye mfumo wa kuangalia fedha vituoni(sektaya Afya na Elimu)

Nae Lulu Ngachinja Diwani viti maalumu Manispaa Mtwara-Mikindani amabe pia ni mshiriki wa mafunzo hayo ameahidi kiyafanyia kazi mafunzo hayo na kuyatekeleza kwa vitendo yale yote yatakayofundishwa.Aidha aliwashukuru shirika la usimamizi wa mifumo katika sekta za umaa kwa kuwapa mafunzo hayo.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.