• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Mtwara-Mikindani yapokea Pembejeo 9118 za Zao la Korosho

Posted on: June 4th, 2022

Juni 4,2022 Manispaa ya Mtwara-Mikindani imepokea  awamu ya kwanza ya pembejeo za ruzuku ya zao la korosho 9118 kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa uzalishaji wa zao hilo kwa  mwaka 2021/2022.

Baada ya kupokea pembejeo hizo Manispaa imekabidhi kwa kamati za ugawaji za kwenye Kata  ili waweze kuzigawa kwa wakulima.

Pembejeo zilizopokelewa ni Pamoja na sulphur ya unga mifuko 362, viuatilifu vya sumu  (Subachlo 234 L), Viuatilifu vya sumu(Mocron) 74L, Viuatilifu vya Kudhibiti UbwiliUnga (dual Purpose Indazoel 2984L).

Pembejeo zingine ni Pamoja na Viuatilifu vya kudhibiti UbwiriUnga (Single Purpose) Movil851L, Subatex2 040, Balaki 1573L.

Hii ni Habari njema kwa wakulima kwani pembejeo hizi zinatolewa bure na Serikali na kupelekwa kwa wakulima isipokuwa mabomba ya kupulizia viuatilifu hivyo ambapo mkulima atachangia nusu ya gharama ya bei halisi.

Matangazo

  • Tangazo Mapokezi ya fedha za Ujenzi wa Miundombinu ya afya Zahanati ya Ufukoni June 14, 2022
  • Tangazo La Uuzwaji wa Biasharaza za jumla za mazazo ya shamba na nafaka soko la chuno June 19, 2022
  • Tangazo la Maelekezo Kwa Waajiriwa Wapya wa Kada za afya na Elimu July 05, 2021
  • Tangazo la Kutafuta Mafundi Wenyeji November 12, 2021
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Tandahimba DC Yatembelea Mtwara-Mikindani Kuona Utekelezaji wa Miradi ya Afya, Elimu

    June 11, 2022
  • Watakaohamasisha Mgomo Wa Wafanyabaishara Soko Kuu Kuchukuliwa Hatua

    June 06, 2022
  • Mtwara-Mikindani yapokea Pembejeo 9118 za Zao la Korosho

    June 04, 2022
  • Manispaa Yafanya operesheni Maalumu ya Ukaguzi wa Leseni, Pango la Vibanda

    June 03, 2022
  • Tazama yote

Video

Simulizi za mabadiliko Shule ya Msingi Rwelu
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.