• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Naibu Waziri Aipongeza Manispaa Kwa Kutoa SHS.Milioni 355 Kuchangia Mfuko wa WDF

Posted on: July 27th, 2017

NAIBU WAZIRI AIPONGEZA MANISPAA KWA KUTOA SHS.MILIONI 355 KWENYE MFUKO WA WDF

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Anastanzia Wambura ameipongeza halmashauri ya Manispaa Mtwara-Mikindani kwa  kutoa fedha kiasi Tsh. 355,000,000/= kutoka katika mapato yake ya ndani kwa ajili ya kuwezesha vikundi vya wanawake na Vijana.

Amesema kuwa halmashauri nyingi zinashindwa kutenga asilimia 10 ya bajeti yake kwa ajili ya kutunisha mfuko wa wananwake na vijana ili kuweza kusaidia  makundi hayo.

Pongezi hizo zimetolewa kwenye kikao cha baraza la Madiwani lililofanyika Julai 26 katika Ukumbi wa mikutano wa Manispaa  wakati wa kuipitia na kuijadili taarifa  ya Miradi mbalimbali ya Maendeleo iliyotekelezwa kwenye bajeti ya 2016/2017 kupitia Mapato ya ndani.

Mhe Wambura alisema kuwa  kipindi cha nyuma wamekuwa wakizipigia kelele halmashauri kila wanapohudhuria vikao kwa sababu walikuwa wanatoa fedha chache kwenye mfuko huo kitu ambacho kilikuwa kinakwenda kinyume na maagizo yanatotolewa na viongozi wa juu.

“Baadhi yenu ni mashahidi hapo nyuma tulikuwa tunafika hapa kwenye vikao ukiangalia fedha zilizotolewa kwenye mfuko wa wanawake na Vijana ni milioni 20, Leo hii  tunaona fedha zilizotolewa milioni 355 ni hatua kubwa kwa kweli mnastahili pongezi”alisema Wambura

Aidha Wambura aliipongeza Ofisi ya Mkurugenzi kwa kuandaa tarifa nzuri ambayo inaonesha uhalisia wa nini kimefanyika mwaka mzima na hivyo kuweka uwazi na kuondoa maswali na mashaka kwa wajumbe.

Pia amewataka watendaji na Madiwani  kushikamana na kufanya kazi kwa  kwa umoja, ili kuleta Maendeleo ya Wana Mtwara

Manispaa Mtwara-Mikindani kwa mwaka fedha ulioishia 2016/2017 imekusanya kiasi cha Shs. Bilioni 3,782,747,372.72  Kutoka mapato ya ndani na kupeleka kwenye mfuko wa wanawake na vijana shs.355 ambayo ni sawa na asilimia  93.85Aidha vikundi 62 vya wanawake na vikundi 22 vya Vijana vimepata mikopo na kufanya jumla ya vikudi 84 vilivyokopeshwa.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.