• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

RC Sawala Ahimiza usimamizi wa vyanzo vya mapato na Ubunifu wa vyanzo vipya

Posted on: April 25th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara COL. Patrick Sawala ameitaka Menejimenti ya halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani kuhakikisha inasimamia vyanzo vya mapato vilivyopo na kubuni vyanzo vipya  pamoja na kusimamaia vizuri matumizi ya mashine za ukusanyaji wa mapato (POS) ili halmashauri iweze kutekeleza miradi  ya maendeleo na wananchi wapatiwe huduma zinazostahiki.

Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo April 25,2024 kwenye kikao kazi na watumishi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Kilichofanyika katika Shule ya Sekondari ya Mtwara Ufundi ambapo kikao hicho kimelenga  kujitambulisha tangu ateuliwe kuwa Mkoa wa Mtwara.

Mkuu wa Mkoa amesema kuwa anatarajia kuona huduma bora zinaendelea kutolewa kwa wananchi huku akiwasisitiza watumishi kutenga muda wa kusikiliza kero za wananchi katika maeneo yao na kuzipatia ufumbuzi kwa kutumia lugha nzuri na ya upole.

Ameendelea kusema kuwa anatamani kuiona Mtwara inafanya vizuri kwenye kila kitu hivyo ametaka kila mtumishi kutimiza wajibu wake kwa kufanya kazi kwa uadilifu, kuondoa urasimu mahala pa kazi pamoja na kuwatendea haki watumishi waliochini yao.

Aidha amewasisitiza watumishi hao kuifanya ajenda ya usafi kuwa ya kudumu kwenye maeneo yao ili kuhakikisha Mji wa Mtwara unakuwa safi muda wote kama ilivyo miji mingine na amewataka  wataalamu kujikita kwenye usimamizi wa miradi ya maendeleo.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Moa huyo ameipongeza Mnaispaa ya Mtwara-Mikindani kwa kufaulisha vizuri kwenye matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya Msingi mwaka uliopita na kupatiwa cheti hapongezi kutoka kwa Wazri wa TAMISEMI Mhe. Mohamedi Mchengerwa .

Kwa upande Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Mwanahamisi Munkunda maesema kuwa atahakikisha naisimami halamshauri katika ukusnayaji wa mapato ili kuhakikisha Mkurugenzi analipa madeni ya watumishi na kutoa motisha kwa watumishi wanaofanya kazi ndani ya Manispaa.

Kikao kazi hicho kiliwahusisha Wakuu wa Idara na Vitengo , Wakuu wa shule na walimu wakuu, Maafisa Elimu Kata, Watendaji wa Kata na Mitaa pamoja watumishi wa kada mbalimbali wanaofanya kazi katika ofisi za makao makuu ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.