• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

TEA Yaipongeza Mtwara-Mikindani Kwa Kutekeleza Miradi ya Elimu

Posted on: May 8th, 2025

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imeipongeza Manispaa ya Mtwara-Mikindani kutokana na juhudi zake zilizofanyika katika kuboresha elimu kupitia mradi wa kuboresha elimu ya Sekondari (SEQUIP) na fedha kutoka Serikali Kuu huku ikiahidi kuendeleza ushirikiano na Manispaa hiyo.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Miradi na Utafiti Rasilimali, Masozi Nyirenda, alipofanya ziara katika Manispaa hiyo tarehe 08 Mei 2025, ili kuona maendeleo na miradi ya elimu.

Katika ziara yake Nyirenda alikuwa ameandamana na maafisa Masoko Bi.Janeth Mhegele na Prisca Msuya,amabo walishuhudiajinsi iradi hiyo ilivyotekelzwa kwa ufanisi.

Nyirend aameonesha kuridhdihswa na hatua zilizofikiwa akiahidi kuendelea kutoa ushirikiano wa karibu kwa halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-mMkindani ili kufikia malengo yaliyokusudiwa kwa ajili ya Maendeleo ya elimu.

Kwa Upande wake Mkurugenzi wa Manispaa, Mwalimu Hassan Nyange ameishukuru TEA kwa ushirikiano mzuri wanaoupata na kuahidi kuendelea kusimamia kwa karibu miundombinu ili kuhakikisha kila mtoto anapata mazingira bora ya kujifunzia na kusomea,

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa mabweni Shule Ya Sekondari ya wasichana Mtwara, Ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu Shule ya Msingi ya Rahaleo pamoja na ujenzi wa madarasa mawili Sekondari ya Likombe.

Matangazo

  • Tangazo La Nafasi ya Kazi ya Udereva June 27, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tangazo La Kuitwa Kazini October 18, 2024
  • Tangazo la ufafanuzi wa Majina kwenye Akaunti za mishahara June 06, 2017
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Mkurugenzi Wakuu Wakuu Wa Idara na Watendaji Waweka Mikakkati Kabambe Ya Kuweka Mji Safi

    May 09, 2025
  • TEA Yaipongeza Mtwara-Mikindani Kwa Kutekeleza Miradi ya Elimu

    May 08, 2025
  • "Ninaridhishwa Na Namna Mnavyotekeleza Miradi Ya Maendeleo"- DC Mwaipaya

    May 08, 2025
  • Meya Ndile Aagiza Kuwepo Mpango madhubuti Wa Kudhibiti Watoto Wa Mitaani

    May 08, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.