• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Timu ya Menejiment yashiriki Ujenzi wa Miundombinu ya Afya zahanati ya Likombe

Posted on: October 26th, 2017

HAPA KAZI TU ni kauli ambayo Menejiment ya halmashauri ya Manispaa Mtwara-Mikindani inaitekeleza kwa vitendo kwa kusimamia utekelezaji wa shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Hivi karibuni Serikali imetoa kiasi shilingi milioni 500 kwa baadhi ya halmashauri kwa ajili ya ukarabati wa majengo  na ujenzi wa miundombinu mbalimbali kwenye vituo vya afya iliyolenga kuboresha huduma za Mama na Mtoto

Fedha hizo zilitolewa na muongozo wa matumizi yake ikiwemo kuweka kipaumbele kwenye Ujenzi wa Jengo la upasuaji, Wodi ya mama na Watoto, Nyumba ya Mtumishi moja,Ujenzi wa Kichomea taka, Ujenzi wa sehemu ya kufulia nguo pamoja na Ujenzi wa Chumba cha kuhifadhi Maiti na Uimarishaji wa Mfumo wa Maji.

Manispaa  Mtwara-Mikindani ni moja wapo ya halmashauri zilizopokea fedha hizo  ambazo zimeelekezwa katika  Ujenzi wa Wodi ya mama na Watoto, Nyumba ya Mtumishi moja, Ujenzi wa Maabara,  Ujenzi wa sehemu ya kufulia nguo pamoja na Ujenzi wa Chumba cha kuhifadhi  Maiti na Uimarishaji wa Mfumo wa Maji katika zahanati ya likombe.

Hadi kufikia tarehe 26 Oktoba 2017 Ujenzi wa Wodi ya Mama na watoto,  Maabara na Sehemu ya kufulia nguo ukuta wa msingi umekamilika huku Chumba cha kulaza maiti zege kwa ajili ya ukuta wa msingi limeshamwagwa, na nyumba ya mtumishi setting ya msingi imeshaanza.

Timu ya Menejiment ya Halmashauri ya Manispaa Mtwara-Mikindani ikiongozwa na Mkurugenzi Bi Beatrice Dominic walitembelea eneo la mradi kwa minajili ya kushiriki shughuli za Ujenzi wa miundombinu hiyo kwa kushirikiana na mafundi ikiwa ni sehemu ya kuongeza hamasa ili mradi wote uwe umekamilika hadi kufikia Disemba 31 mwaka huu. Ili kufanikisha hilo menejimenti imepanga utaratibu wa kila siku ya Alhamisi katika wiki kuwa itashiriki Ujenzi wa miundombinu hiyo.

Matangazo

  • Tangazo La Nafasi ya Kazi ya Udereva June 27, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tangazo La Kuitwa Kazini October 18, 2024
  • Tangazo la ufafanuzi wa Majina kwenye Akaunti za mishahara June 06, 2017
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.