• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Walimu Shule za Msingi zilizofanya vizuri zapongezwa

Posted on: December 2nd, 2021

Baada ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani kufanya vizuri kwenye matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya Msingi uliofanyika Septemba mwaka huu na kushika nafasi ya pili kimkoa kati ya halmashauri tisa zilizopo mkoani Mtwara, Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani amewapongeza walimu pamoja na shule zilizofanya vizuri zaidi ya zingine kwa kuwapatia fedha taslimu Pamoja na vyeti ili kuwatia moyo na  kutambua kazi kubwa waliyoifanya.

Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika Desemba 2,2021 katika Ukumbi wa Call Vision Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Col. Emanuel Mwaigobeko amesema kuwa ofisi yake inatambua na kuthamini mchango mkubwa  unaotolewa na walimu katika kuendeleleza taaluma shuleni kulikopelekea ufaulu kuongezeka kwa asilimia sita mwaka huu.

Amesema kuwa pamoja na kutoa pongezi hizo  amewataka walimu hao kutobweteka badala yake waongeze juhudi katika ufundishjai namkuimarisha nidhamu shuleni ili matokeo yanayofuata yawe mazuri Zaidi ya mwaka huu.

Kwa upande wake Afisa Elimu Msingi amesema kuwa ongezeko la ufaulu mwaka huu limechangiwa na mikakati mbalimbali kutoka kwenye Idara ikiwemo kutoa mitihani ya wiki, mwezi na mazoezi mengi kwa wanafunzi, kuongeza muda wa kujifunza kwa walimu wa madarasa ya mitihani kwa lengo la kuwapa mazoezi ya kutosha na walimu kupata muda wa kufanya masahihisho, kuwapa walimu stahiki zao pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula cha mchana.

Katika kuhakikisha kuwa ufaulu huo unaongezeka mwaka ujao idara ya elimu wameweka mikakati ifuatayo kuongeza muda wa kujifunza kwa wanafunzi wa darasa la saba, kutoa maelekezo juu ya utuzi wa mitihani Pamoja na kufanya vikao vya tathmini.

Shule zilizofanya vizuri ni Pamoja na

Katika matokeo ya Mtihani wa Taifa  wa kuhitimu elimu ya msingi yaliyotangazwa Oktoba 30 mwaka huu  Manispaa ya Mtwara-Mikindani imefaulisha jumla ya wanafunzi 2443 wakiwemo wavulana 1179 (49%) na wasichana 1264 (51%) sawa na asilimia 92.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.