• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Walimu Wakuu Mtwara Waagizwa Kuanzisha Klabu za Mafuta na Gesi Shuleni

Posted on: November 12th, 2022

Ili kujenga uelewa juu ya matumizi ya gesi asilia na miradi inayotekelezwa  hapa nchini, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Dunstan Kyobya ameziagiza shule zote zilizopo Wilaya ya Mtwara kuhakikisha zinanzisha Klabu za mafuta na gesi zitakazosaidia wanafunzi kuwa mabalozi wa kuisemea vizuri gesi .

Pamoja na kuanzishwa kwa klabu za shule Mkuu wa Wilaya pia amesisitiza uwepo wa mazoezi kila mwezi ili kuhamasisha matumizi ya gesi asilia huku akiwaomba Shirika la Mafuta na gesi Tanzania (TPDC) kuendeleza mazoezi hayo mara moja kwenye robo mwaka.

Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo Novemba 12, 2022 kwenye Mbio za TPDC Mini Marathon zilizofanyika katika viwanja vya Nangwanda zikihusisha Shule tano zilizopo Manispaa ya Mtwara-Mikindani, vyuo Pamoja na vilabu vya mazoezi (Jogging Clubs)

Aidha Mkuu wa Wilaya amempongeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza uzalishaji wa gesi asilia kupitia bomba jipya la gesi lenye urefu wa km 35 linalojengwa kutoka Kata  ya Nanguruwe hadi Madimba ikikatiza katika vijiji 12 vilivyopo Wilaya ya Mtwara.

Amesema kuwa bomba hilo litakapokamilika uzalishaji wa  gesi utaongezeka na kuwataka  TPDC kujipanga na kuhakikisha nyumba zote zinaunganishwa gesi na magari  yanaanza kutumia gesi ili kupunguza gharama.

Nae Naibu Meya wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Mhe. Edward Kapwapwa ameipongeza Kampuni ya TPDC kwa kufanya Mini Marathoni kwa wanafunzi na  ameiomba TPDC kuharakisha zoezi la uanzishaji wa matumzi ya gesi kwenye magari ili kupunguza gharama za matumizi ya mafuta.

Awali akizungumza kwenye viwanja hivyo Meneja mawasiliano wa TPDC Maria Mselem amesema kuwa Kampuni yao imeamua kuanzisha  Mini marathoni kwa wanafunzi kutoka shule tano za Sekondari zilizopo Manispaa ya Mtwara -Mikindani ili waweze kufahamaiana , kubadilishana uzoefu na kushirikiana kwenye masomo..

Maria amesema  amewashukuru walimu kwa kuridhia TPDC kuanzisha Klabu za gesi kwenye shule kumi na saba za Mkoa wa Mtwara  na ameomba ushirikiano zaidi ili elimu katika masuala ya gesi na mafuta iendelee kuwepo.

TPDC Mini Marathon Mkoani Mtwara imefanyika kwa lengo la kutoa elimu ya matumizi ya gesi asilia na miradi yake huku ikihusisha Shule za Sekondari tano zilizopo Manispaa ya Mtwara-Mikindani zikiwemo Mangamba  Day, Saba Saba , Sino, Bandari na Shule ya Sekondari ya Wasichana Mtwara.

Katika mashindano hayo zimetolewa zawadi za fedha taslimu na medani kwa washindi  kumi wa mbio hizo.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.