• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Wananchi Wahimizwa Kunywa Kinga Tiba za Mabusha,Matende,Minyoo ya Tumbo

Posted on: September 4th, 2023

Katibu Tawala wa Wilaya ya Mtwara Ndugu Mwinyi Ahmed Mwinyi amewahimiza wananchi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani kuhakikisha wanakunywa kinga tiba za mabusha, matende na minyoo ya tumbo kwa kuwa kinga tiba hizo ni salama na hazina madhara yoyote kwa binadamu.

Amesema kuwa kwa kumeza kinga tiba hizo wananchi wataweza kushiriki kwenye shughuli mbalimbali za kimaendeleo  na kukuza uchumi wa Taifa letu na amewataka viongozi mbalimbali wa kwenye Kata na Mitaa kuhakikisha wanasimamia zoezi hilo kwa kuhakikisha wananchi wao wote wanameza dawa.

Katibu Tawala ameyasema hayo Septemba 4, 2023 alipofanya uzinduzi wa zoezi la Utoaji wa  Kinga tiba hizo kwenye Ofisi ya Kata ya Likombe .

Aidha amewapongeza Madiwani kwa kujitoa kumeza dawa hizo kwani italeta hamasa kubwa na kuondoa hofu kwa wananchi ambao wanafikiri kuwa kinga tiba hizo zina madhara kwa binadamu.

Nae Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Mhe. Shadida Ndile ametoa rai kwa watoa huduma waliopata kazi ya kugawa kinga tiba hizo kwa wananchi kuhakikisha wanafanya kazi kwa ukamilifu kwa kupita nyumba hadi nyumba ili Manispaa iondokane na magonjwa hayo hayo kama ilivyo kwa Halmashauri zingine.

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Wizara ya afya Bwana Alex Mkamba amesema kuwa pamoja na wananchi kujitokeza kumeza dawa, amewataka wananchi wenye mabusha kujitokeza ili watambuliwe na waweze kupatiwa  huduma.

Diwani wa Kata ya Likombe Saidi Salumu amewataka wananchi wa Likombe kujitokeza kunywa Kinga tiba hizo kwa kuwa Kata yake inaongoza  kuwa na watu wenye vimelea vya magonjwa hayo kwa asilimia 6 ukilinganisha  na Kata zingine zilizopo Manispaa ya Mtwara-Mikindani.

Zoezi la Utoaji wa Kinga tiba za Mabusha, Matende na Minyoo ya tumbo limezinduliwa leo Septemba 4,2023 na litamalizika Septemba 10,2023.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.