• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Wanaoiba Fedha za Walengwa wa TASAF Kuadhibiwa

Posted on: October 19th, 2022

Kutokana na kuwepo na  kilio cha Baadhi ya walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya Masikini kudai kuibiwa fedha wanazozipata kutoka kwenye mradi huo na ndugu zao wa karibu, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe.Dunstan Kyobya ameielekeza Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara—Mikindani kuwachukulia hatua za kisheria  wale wote wanaojihusisha  na wizi huo huku akimtaka kuainisha kaya zenye wazee sana ambazo haziwezi kutunza fedha na kuhakikisha fedha zao hazipotei.

Mkuu wa Wilaya ametoa agizo hilo OKtoba 19,2022 alipozungumza na walengwa wa Mpango wa kunusuru Kaya masikini waliopo Kata ya Chikongola na Tandika.

Aidha Mhe.Mkuu wa Wilaya amewataka walengwa wote  kuendelea kushiriki kwenye  miradi ya ajira ya muda inayolenga kuwapatia kipato kupitia nguvu kazi katika miradi inayoibuliwa lakini pia kushiriki katika shughuli mbalimbalim za Maendeleo ili Mnauspaa weze kukua.

Ameendelea kuwasisitiza wataalamu wa Manispaa aya Mtwara-mikindani  kuhakikisha wanaisimamia miradi ya TASAF vizuri na kuwataka kuendelea  kutoa elimu juu ya mradi huo ili faida yake  iwafikie walengwa wote.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya amempongeza Mratibu wa TASAF Mnaispaa ya Mtwara-Mikindani Bi.Sylivia Mwananche kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya katika kuhakikisha mradi huo unakwenda  vizuri huku akisisitiza elimu zaidi ya Mpango wa kunusru Kaya masikini itolewe kwenye kila vikao vya mtaa.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Tandika Mhe.Haruni Haruni ameishukuru Serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kutoa fedha za kuhudumia wazee na kutoa rai kwa walengwa wa Mpango huo kuhakikisha wanaitunza na kuilinda miradi yote inayotekelezwa na mpango huo ili iweze kuleta Manufaa kwa wote.

Nae Mratibu wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini Manispaa ya Mtwara-Mikindani Bi. Sylivia Mwanache amesema kuwa Serikali imekuwa ikileta fedha za walengwa wa Mpango kwa wakati na  amewaomba walengwa kuwa watulivu pale fedha inapotokea mara chache fedha ikachelewa.

Akizungumza kwa naiba ya walengwa wengine Bi. Clara Kmatwanje  ameishukuru Serikali kwa kuendelea kuwapatia fedha za TASAF ambazo zinawasaidia katika kujikimu kimaisha Pamoja na kuwasomesha Watoto wao.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.