• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Watakaofanya Vibaya Kwneye Uibuaji Kaya Masikini Kuchukuliwa hatua

Posted on: April 20th, 2021

Kutokana na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa sehemu ya kwanza ya mpango wa TASAF ikiwemo uwepo wa kaya hewa na zisizo  na sifa, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe Dunstan Kyobya   amewataka wawezeshaji wa sehemu ya pili ya  mpango huo awamu ya tatu kuhakikisha wanaibua kaya masikini zenye sifa vinginevyo watakaokiuka watachukuliwa hatua.

Kyobya ameyasema hayo April 19, 2021 katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Kawaida alipofanya ufunguzi wa kikao kazi  cha kujenga uelewa kwa viongozi, watendaji na wawezeshaji kuhusu utekelezaji wa sehemu ya pili ya TASAF awamu ya tatu.

Amewataka wawezeshaji hao kuzingatia kanuni na miongozo wanapokwenda kuibua kaya masikini ili kutimiza malengo ya serikali ya kuhakikisha fedha zitakazotolewa zinaenda kuwanufaisha  walengwa ikiwemo kupunguza umasikini na kuongeza ukuaji wa uchumi.

Aidha Kyobya amewasisitza wawezeshaji kushirikisha viongozi wote waliopo kwenye Kata  Pamoja na wataalamu waliopo halmashauri ili kuondoa uonevu na manung’uniko ya hapa na pale katika utekelezaji wa zoezi hili.

Nae Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Bi. Shadida Ndile ameishukuru Serikali kwa kutuletea tena mradi wa TASAF na kuwasisitiza watendaji wanaoenda kufanya kazi ya kuwatambua walengwa kuhakikisha wanafanya kazi hiyo kwa weledi ili kuondoa changamoto zilizowahi kujitokeza katika awamu iliyopita.

Kwa upande wake Bwana Ladislaus Mwamanga Mkurugenzi mtendaji wa TASAF katika hotuba yake amesema kuwa Serikali imeamua kuendelea na kipindi cha pili katika awamu ya tatu ya TASAF ili kuhakikisha kaya zote zinazoishi katika mazingira duni zinapata usaidizi wa Serikali kupitia mradi huu kwa kuwawezesha kufanya kazi na kupambana na umasikini.

Amesema kuwa Mpango huu wa sasa unaenda kutekelezwa katika halmashauri zote 184 za Tanzania bara na wilaya za zanziba huku utekelezaji wake ukihusisha vijiji na mitaa yote iliyopo nchini Pamoja na maeneo ambayo hayakupata fursa katika kipindi cha kwanza cha utekelezaji wa mradi.

Mwamanga ameongeza kuwa katika kipindi hiki cha pili cha awamu ya tatu kitafikia kaya zipatazo milioni moja na laki nne na nusu  zenye jumla ya watu Zaidi ya milioni saba huku Mnaispaa ya Mtwara Mikindani ikitarajia kuandikisha kaya zipatazo……..

  

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.