• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Watoto waishio katika Mazingira hatarishi wapatiwaKadi za TIKA

Posted on: June 16th, 2017

WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI WAPATIWA KADI ZA TIKA.

Watoto 100 waishio katika mazingira hatarishi Manispaa ya Mtwara Mikindani wamepatiwa kadi za bima ya afya (TIKA) zenye thamani ya Tsh.500,000 ili ziweze kuwasaidia kupata matibabu  bure pale wanapougua.

Kadi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Manispaa Mtwara Mikindani na kugawiwa na Mh diwani wa Kata ya majengo Ziha Khalidi, kwenye maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Majengo Tarehe 15 Juni 2017.

Akigawa kadi hizo Ziha khalidi alisema kuwa wazazi wanapaswa kuzitunza kadi, kwani zitasaidia watoto  kutibiwa bure pale wanapopata homa kama vile malaria n.k. Pia alimshukuru Mkurugenzi kwa kitendo alichokifanya kwani amesaidia kuokoa maisha ya watoto wetu.

Vile vile Diwani huyo aliwataka watoto kutambua haki zao na pale inapotokea wanafanyiwa vitendo vya ukatili waende wakaripoti kwenye Serikali za Mitaa kwani sheria zipo .

“Ninafahamu kuna watoto wengi wanaishi na baba au mama wa kambo majumbani, mnanyanyaswa na wengine mnabakwa hasa watoto wa kike, msiogope kimbilieni Serikali za Mitaa mkatoe tarifa”alisema zikha khalidi.

Awali wakisoma risala kwa niaba ya watoto wenzao ,wanafunzi wanaolelewa kwenye kituo cha yatoto yatima cha EAGT wamekusudia kuufikishia umma wananchi wa mtwara maswala yahusuyo Ulinzi na Usalama wa mtoto. Wamesema kuwa ili mtoto awe salama anahitaji Kujulikana, Kutambulika na kupendwa.

Aidha watoto hao walitoa wito kwa jamii na Serikali, kuhakikisha kuwa mtoto haachwi ana zurura mitaani muda wa masomo, kuzuia watoto kununua vileo na sigara, kuepuka kuongea masuala ya kiutu uzima ikiwemo kutamka matusi mbele ya watoto, Kuacha kupigana na kutoleana lugha za matusi mbele ya watoto, Kuhakikisha watoto wanaangalia vipindi vya maadili mema katika luninga zetu, na kuwzauia watoto kuingia  katika kumbi za Starehe na kuangalia filamu zisizo na maadili.

Naye Rose Mlaki Mratibu wa Mfuko wa afya  ya Afya Manispaa Mtwara- Mikindani amesema kuwa kadi hizo zitatumika bure kwenye Vituo vya afya na Zahanati za serikali tu zilizopo Manispaa. Na kwamba kadi hizo zitadumu kwa mwaka mmoja tu.

Pia amewahamasisha wazazi na walezi waliokusanyika kwenye viwanja hivyo na ambao hawana kadi za afya, kuhakikisha kuwa wanakata bima za afya kwa za kwao au watoto wao kwa gharama ya  Tsh. 5000/= kwa kila mmoja.

 Siku ya Mtoto wa Afrika huazimishwa kila mwaka Tarehe 16 Juni ikiwa ni kumbukumbu ya  Mauaji ya watoto yaliyofanywa na Utawala wa Makaburu huko Soweto .Afrika ya Kusini Tarehe 16 Juni 1976. Katika tukio hilo inakadiriwa kuwa watoto wapato 2000 waliuawa. Adha Kauli mbiu ya mwaka huu inasema “MAENDELEO ENDELEVU 2030:IMARISHA ULINZI NA FURSA SAWA KWA WATOTO”. Maazimisho hayo yalitanguliwa na warsha iliyohusisha wadau mbalimbali na kujadili mawsala yanayowahusu watoto pamoja na haki za wanawake, lakini pia Wanafunzi was Shule za Sekondari na Msingi walifuundishwa masuala ya Ulinzi na Usalama wa Mtoto.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.