• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Zaidi ya Bil. 230 Kutumika Kujenga Madarasa, Matundu ya Vyoo Kupitia Mradi wa BOOST

Posted on: December 22nd, 2022

SERIKALI YAPANGA KUJENGA MADARASA 12000 KUPITIA MRADI WA BOOST

Ili kuinua na kuboresha ujifunzaji na ufundishaji wa elimu  ya awali na Msingi, Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu  inatarajia kutumia kujenga madarasa elfu kumi na mbili (12000) pamoja na matundu ya vyoo kwenye shule za awali na Msingi zilizopo Tanzania bara  kupitia mradi wa BOOST  unaotekelezwa hapa nchini kwa miaka mitano kuanzia 2021/2022 .

Mratibu Msaidizi wa Mradi wa BOOST Bwana Reuben Swila amesema kuwa mradi huo unatekelezwa kwenye halmashauri zote 184 za Tanzania bara  na Mikoa 26 huku Serikali ikitarajia kutumia zaidi ya bilioni 230 kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya madarasa na matundu ya vyoo katika shule 17,182 za Msingi  zilizopo.

Swila ameyasema hayo  Desemba 22, 2022 kwenye mafunzo ya kujenga uelewa juu ya mradi wa BOOST yaliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo Cha Ualimu Kawaida uliopo Manispaa ya Mtwara-Mikindani yakishirikisha wakishiriki zaidi ya 210 kutoka Mikoa ya Lindi na Mtwara.

Akizungumza kwenye Mafunzo hayo Mwalimu Kiduma Mageni Afisa Elimu Mkoa wa Mtwara ambae pia ni mgeni rasmi ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kutoa fedha za utekelezaji wa miradi katika sekta ya elimu  ikiwemo shilingi trilioni 1.15 za utekelezaji wa mradi wa BOOST.

Ili mradi huu wa BOOST uweze kutoa matokeo yaliyokusudiwa Mwalimu Mageni amewasihi washiriki wa mafunzo kuumiliki mradi huo ikiwemo kutumia mapato ya ndani ya halmashauri kwenye utekelezaji wake pamoja na kuvisikiliza vizuri vigezo vya mradi na kuvisismamia ili zipatikane fedha za kutosha  za utekelezaji wa mradi huo.

Aidha amewasiistiza washiriki kusapoti juhudi za serikali yetu ambayo imewekeza fedha nyingi kwenye elimu kwa hiyo kazi kubwa wanayotakiwa kuifanya ni kuhakikisha wanasimamaia mradi huo ili matokeo yaonekane.

Mradi wa BOOST unahusisha afua nne ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya awali na Msingi, uimarishaji wa miundombinu ya TEHAMA, mpango wa shule salama kwa shule za Msingi Pamoja na afua zingine.

Matangazo

  • Tangazo La Mgao wa Fedha za Ujenzi wa Madarasa Ya Sekondari October 07, 2022
  • Taarifa Kwa Umma Mapokezi ya Fedha za Vyumba vya madarasa September 30, 2022
  • Tangazo la Maombi ya Kukimbiza Mwenge wa Uhuru January 27, 2023
  • Taarifa Kwa Umma King Tiba za Mabusha,Matende na Minyoo ya tumbo September 23, 2022
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Mtwara-Mikindani Yafaulisha Kwa asilimia 98 Matoke ya Kidato Cha Nne

    February 01, 2023
  • Madiwani, CMT Wakagua Miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru

    January 30, 2023
  • Madiwani Wamshukuru Rais Samia kwa Kuleta Fedha za Miradi

    January 30, 2023
  • Baraza la Wafanyakazi Lapitisha Rasimu ya Bajeti ya Bil. 30.1

    January 26, 2023
  • Tazama yote

Video

Simulizi za mabadiliko Shule ya Msingi Rwelu
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.