• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Mikindani Municipal Council
Mtwara Mikindani Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Manispaa ya Mtwara Mikindani

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Idara ya Maji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi na Ugavi
        • Fursa za Uwekezaji
          • Vivutio vya Utalii
          • Maeneo ya Viwanda
      • Ufugaji wa nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
    • Muundo wa Kiutawala
    • Kata
      • Shangani
      • Rahaleo
      • Reli
      • Vigaeni
      • Majengo
      • Magomeni
      • Ufukoni
      • Mitengo
      • Magengeni
      • Mtonya
      • Kisungule
      • Jangwani
      • Mtawanya
      • Naliendele
      • Chikongola
      • Chuno
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • huduma za maji
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • HUduma za watumishi
    • Uzoaji wa taka ngumu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Ujenzi
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Kumuona Mstahiki Meya
  • Mradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi mipya
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba cha Picha

Mtwara Mikindani Yapata Hati Safi mara nne Mfululizo

Posted on: May 14th, 2020

Kutokana na kufanya vizuri kwenye matumizi, ukusanyaji wa mapato na utekelezaji mzuri wa Miradi ya Maendeleo kulikopelekea Manispaa ya Mtwara-Mikindani  kupata hati safi kwa miaka minne mfululizo Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa ametoa pongezi kwa Manispaa hiyo.

Byakanwa ametoa pongezi hizo kwenye baraza maalumu la Madiwani la kupitia taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali za mwaka 2018/2019 lililoketi May 14,2020 katika Ukumbi wa mikutano wa Shule ya Sekondari ya call and Vision.

Pamoja na pongezi hizo byakanwa pia amemtaka Mkurugenzi na timu yake kuhakikisha kuwa wanazuia kutokea kwa hoja za ukaguzi mwisho wa siku hati safi ipatikane bila ya kuwa na hoja kabisa na kuhakiksha hoja zilizobaki zinafungwa

Aidha ameitaka manispaa hiyo kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuwezesha utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na  kutatua changamoto mbalimbali za uhaba wa madarasa, matundu ya vyoo Pamoja na changamoto zingine.

“Msingi mkubwa, kiini, roho ya halmashauri ni mapato kwa hiyo niwaombe muongeze nguvu za kuweza kusimamia na kudhibiti vyanzo vya mapato ya ndani na vilevile kufata utaratibu wa matumizi ya fedha zinazokusanywa na kuletwa na Serikali kuu, Alisema Byakanwa

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani Col. Emanuel Mwaigobeko katika taarifa yake amesema kuwa halmashauri kwa mwaka wa 2018/2019 ilipokea hoja 25, zilizofungwa ni hoja saba na kubakiwa na hoja 18 amzabo zinaendelea kufanyiwa kazi.

Awali akisoma taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali za mwaka 2018/2019, Mwakilishi wa Mkaguzi Mkuu wa hesabu za nje Mkoa wa Mtwara Ibrahim Mdendemi ameipongeza Ofisi ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani kwa kupata hati safi.

Amesema kuw ripoti ya mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali yam waka 2018/2019 iliwasilishwa kwa mkurugenzi ikiwa na jumla ya hoja ishirini na tano , baada ya kupokea utekelezaji jumla ya hoja saba zimefungwa na hivyo kusalia na hoja 18 ambazo hazijafungwa saw ana asilimia 76.

Kuanzia mwaka 2015/2016 hadi sasa Manispaa ya Mtwara-Mikindani imekuwa ikipata hati safi kwa miaka minne mfululizo.

Matangazo

  • Taarifa Kwa Umma ya Ilani ya Kuondoka Kwenye Kiwanja Nmaba 1-149 Litingi January 03, 2025
  • Taarifa Kwa Umma Ufafanuzi Kuhusu Jina la Shule ya Sekondari Mwalimu Nyange January 02, 2025
  • Terms Of Reference For The Provisions Of Construction Supervision Consultancy Services For Urban Infrastructures Development In Mtwara Mikindani Municipality Under The TACTIC Project March 07, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na BVR Operators January 09, 2025
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa Yapongeza Utekeelzaji wa Miradi ya MaendeleoMtwara-Mikindani

    January 08, 2025
  • MD Nyange Ateta na Watumishi Wa Kada ya Afya

    January 07, 2025
  • Vikundi Vilivyopata Mkopo Vyahimizwa Kurejesha Fedha Kwa Wakati

    January 06, 2025
  • Mtwara-Mikindani Yatoa Mkopo wa Mil.640.9 Kwa Vikundi 58

    January 06, 2025
  • Tazama yote

Video

Namna ya Kujisajili na Kutumia mfumo wa Uhamisho kwa watumishi wa Umma
Video nyinginezo

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni ya ujenzi wa barabara km 4.1,Ujenzi wa Mfereji wa maji ya mvua toka Skoya,nabwada hadi Mtepwezi,Ujenzi wa soko la Chuno,Ukarabati wa stendi ya Mikindani pamoja na Uboreshaji wa sehemu za kupumzikia na michezo
  • Kupata matokeo ya Darasa la nne 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Matokeo ya Kidato cha Pili 2017 Manispaa Mtwara-Mikindani
  • Taratibu za Kupata fomu za Vileo

Viunganishi linganifu

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • OR - TAMISEMI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Manispaa Mtwara-Mikindani

    Anuani ya Posta: P. o. Box 92,

    Simu ya mezani: 023-2333102

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@mtwaramikindanimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018Mtwara Mikindani Manispaa . All rights reserved.