Posted on: February 6th, 2021
Wananchi wa Kata ya Ufukoni wakijitolea kumwaga wakijitolea kumwaga zege jamvi ikiwa ni muendelezo wa ujenzi wa madarasa matatu ya Shule ya Sekondari ya Sino.
Madarasa hayo yanajengwa na Manispaa y...
Posted on: February 5th, 2021
IKiwa leo februari 5,2021 Chama cha Mapinduzi kimetimiza miaka 44 tangu kuzaliwa kwake februari 5, 1977 Kamati ya siasa ya Chama hiko Wilaya ya Mtwara Mjini imetembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo ...
Posted on: January 29th, 2021
Baraza la Madiwani la Manispaa ya Mtwara-Mikindani lililoketi Januari 29,2021 katika ukumbi wa chuo cha Ualimu Kawaida limepitishwa rasimu ya Mpango wa bajeti ya mwaka wa fedha 2021/22 yenye jumla ya ...