Posted on: January 18th, 2021
Katika kuhakikisha kuwa madeni ya kodi ya ardhi yenye thamani ya shilingi Bilioni tatu kwa Manispaa ya Mtwara-Mikindani yanaendelea kulipwa, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Dunstan Kyobya leo Januari 18,2020...
Posted on: January 17th, 2021
Manispaa ya Mtwara-Mikindani imeng’ara katika matokeo ya Mtihani wa Taifa wa kidato cha nne na cha pili yaliyotangazwa hivi karibuni baada ya kushika nafasi ya kumi katika halmashauri zilizofanya vizu...
Posted on: January 11th, 2021
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius byakanwa amewataka wazazi na walezi wa watoto wenye mahitaji maalumu(walemavu) kuacha mila potofu za kuwaficha watoto ndani badala yake wajtokze kwenye zoezi...