Posted on: September 27th, 2021
Ili kuondokana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi katika bustani yetu ya kupumzikia ya Mashujaa na eneo la bustani ya mbogamboga Indian quartes, kupitia mapato yetu ya ndani tumeanza uchimbaji ...
Posted on: September 25th, 2021
Mgogoro uliodumu kwa muda wa miaka kumi kati ya wananchi wa Mangamba( wanaoishi upande wa kaskazini mwa mkuza wa bomba la gesi) na uwanja wa ndefu umefika tamati kwa wananchi hao ...
Posted on: September 24th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Dunstan Kyobya ametoa siku saba kwa wananchi wa Mtaa Machame Kata ya Mitengo kuhakikisha wanalipa gharama za urasimishaji na fidia ya eneo la Machame waliovamia ili wawez...