Posted on: March 7th, 2021
Kuelekea kwenye maadhimisho ya siku ya mwanamke Duniani yanayofanyika kila mwaka ifikapo Machi 8, Manispaa ya Mtwara-Mikindani imesherehekea siku hii kipekee kwa kuwashika mkono wanawake weny...
Posted on: March 7th, 2021
Katika kutambua kazi kubwa inayofanywa na wanawake viongozi ndani ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani wanawake wa Manispaa hii wamemvisha taji la malkia wa nguvu Mstahiki Meya wa kwanza mwanamke aliyewahi...
Posted on: March 5th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Dunstan Kyobya amewataka walimu wakuu, wakuu wa shule na watendaji wa Kata Manispaa ya Mtwara-Mikindani kuwashirikisha wadau wa maendeleo ili waweze kuchangia utekelezaji...