Posted on: July 10th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Dustan Kyobya amewataka wananchi kuimarisha ulinzi na usalama kila siku katika maeneo yao.
Amesema kuwa pamoja na kuwepo kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama lakini ...
Posted on: July 9th, 2021
Kutokana na kuwepo kwa janga la Ugonjwa wa CORONA Duniani, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Dunstan Kyobya amewataka wananchi wote Wilayani Mtwara kutochukulia poa Ugonjwa huo badala...
Posted on: July 8th, 2021
Manispaa ya Mtwara- Mikindani tumeendelea kunufaisha Vikundi vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu kwa kutoa Mkopo wa shilingi 205,047,000 na vyombo vya usafiri (bajaji na pikipiki) kwa vikundi 5...