Posted on: September 4th, 2022
Timu ya Mpira wa Miguu ya Naliendele 9NALI UTD) imetwaa ubingwa wa ligi ya Ndile Meya Cup ligi daraja la nne baada ya kuigaragaza Timu ya Mpira wa miguu ya Chuno goli moja kwa sifuri na kuapta z...
Posted on: September 3rd, 2022
Hadi Kufukia Septemba 2,2022 Manispaa ya Mtwara-Mikindani imeshatoa chanjo ya polio kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano 11312 kati watoto 18770 waliolengwa sawa na asilimia 60 kwenye Kampeni y...
Posted on: September 2nd, 2022
Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani imeshika nafasi ya kwanza kwenye usimamizi na utekelezaji wa afua za lishe kwa mwaka wa fedha wa 2021/2022 kati ya halmashauri tisa za Mkoa wa Mtwara.
Us...